Recent content by saluya

  1. saluya

    JamiiForums Tanzania Africa siasa hakuna

    "Kule Zanzibar ZEC ni huru kama zilivyo Tume zote za Uchaguzi duniani, kwa hiyo sitaingilia maamuzi huru ya ZEC, wanaotaka tafsiri waende mahakamani, kazi yangu kama Amiri Jeshi mkuu ni kulinda usalama wa nchi ikiwemo Pemba na Unguja, watakaoleta Fyokofyoko vyombo vya dola vipo...
  2. saluya

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Magufuli sio tatizo?

    Tatizo hapa nchini kwetu tumekua waoga kiasi cha kupitiliza mpaka vyombo vya habari uandika propaganda kwa wingi kumbe laghasha
  3. saluya

    JamiiForums Tanzania Lowassa amenifanya nikuchukie Diamond Platnumz

    Mda mwingine inabidi umchukie mtu kwa maslai yako kiukweli sio ajabu kumchukia diamond sawa sawa.
  4. saluya

    JamiiForums Tanzania Jiunge na mfuko wa afya ya jamii!

    Hii inaonyesha hasa ni ubinafsi na kama unajiunga na bima baxi ni vema na ndugu zetu wasio jiweza nao wa ngaliwe na si mpka mfanyazi toka serikalini mjitahidi kuboresha
Back
Top Bottom