Recent content by salumselemani

  1. S

    Msaada: Mtoto kufunga choo

    Exclusive breast feeding inatakiwa acha uzembe kumnyonyesha dogo
  2. S

    Shemeji/wifi yenu simuelewi

    Uwiiiiiii omg saidia kizazi hiki cha nyoka
  3. S

    Naolewa wiki ijayo, nahitaji ushauri kwa wazoefu na ndoa

    Uwe mzuri kitandani mpaka mumeo asifikirie michepuko ukijifungua mtoto jitahid uwe km ulivyo sasa usijiachie na kuona udeal na mtoto tu ukamsaham mmeo kimapenz
  4. S

    Fununu Fununu za Freeman Mbowe kuwa PM

    Hahahahahaha pale unapoota
  5. S

    Mwisho wa unafiki wa Mengi!

    ITV wamejitahd sana kubalance sio km star tv,,hata hilo hukuliona?
  6. S

    Uchambuzi - Sheikh Ponda Issa Ponda

    Mashekh wetu mpaka leo hawajaachiwa daa Kikwete bhana
  7. S

    Twaweza, mikikimikiki mmezalilika . Mjitathmini

    Startv nao mbona wanaibeba sana ccm
  8. S

    MkikiMkiki: Mdahalo wa wagombea Urais Oktoba 18, 2015

    Mzee Magu anaiga sana kila atakachofanya LOWASA
  9. S

    Magufuli: Uwanja wa ndege wa Mwanza kuwa kama wa Uswis

    Hahahahahaha ahadi za Magufuli haztekelezek
  10. S

    Why should I get married?

    Natamani sana kuoa ili niwe na familia kwenye ndoa,,na nikisha oa nataman wanawake wote niwaone wa kawaida tu hata km niwazur kias gan ili nisiharbu ndoa yangu,,siunajua ukiwa kijana kila mwanamke anakuvutia kwa namna yake
  11. S

    Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikaangoni kwa dakika 150

    Lowasa haina haja ya kushirika mdahalo,,magufuli tayar anapossible ya maswal
  12. S

    Nimeshangazwa sana na kauli za Mbowe na Anna Mghwira; Ni za kumfagilia njia John Magufuli!

    Kalale acha tusubir matokeo ya. Ushind wa Lowasa
Back
Top Bottom