Uwe mzuri kitandani mpaka mumeo asifikirie michepuko ukijifungua mtoto jitahid uwe km ulivyo sasa usijiachie na kuona udeal na mtoto tu ukamsaham mmeo kimapenz
Natamani sana kuoa ili niwe na familia kwenye ndoa,,na nikisha oa nataman wanawake wote niwaone wa kawaida tu hata km niwazur kias gan ili nisiharbu ndoa yangu,,siunajua ukiwa kijana kila mwanamke anakuvutia kwa namna yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.