Ww lofa hii nchi ya kwenu?mnafikil mtatawala milele?yan ukimchoka mkeo kwa hasira unaenda kuchukua hata tondola tu ili kuonesha kuwa nimekuchoka.sa km tumewachoka mtupishe maan kizazi chenu nilisha kwenda na nyerere
Sita kachezea kodi zetu kabisa bila hata ya huruma sabb alijua hata rud mjengon akaamua kulazimisha na tunampigia dua na mkewe akose ubunge ili wakasimamie mirad yao kwa ufasaha
Fidel Castro kaongoza Cuba miaka mingap akiwa kitandan?lowasa hata akiongea dakk 2 zinatosha haina haja ya kuumiza koromeo lake wakt tunamuelewa utendaj wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.