Recent content by Salum Sanane

  1. S

    TUCTA ya beza hutuba ya Rais Kikwete

    Good! Good! Good!
  2. S

    Uhai wa Chama Cha Mapinduzi

    Wewe mchache wa mawazo,angalia mvumo wa vyama.Wamekuwa wanapokezana kwa muhula wa kuitwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI.Awali walianza UMD,baada ya muda fulani wakaishiwa ikaingia NCCR.Baada ya mhula wao kupita CUF nao wakawa chama kikuu cha upinzan.Hatuwezi kushangaa kwa zamu hii ya wabovu CHADEMA,na...
  3. S

    Uhai wa Chama Cha Mapinduzi

    Juhani wewe na marehemu shangazi yako.Changia hoja,usiangalie majina.Na kiingereza chako kibovu usikiingize JF.
  4. S

    Uhai wa Chama Cha Mapinduzi

    Hota yako naikubali kwa asilmia 100,wana CHADEMA sasa wamegundua mtindo wa kuingia CCM na kushika nyadhifa mbalimbali kwa lengo la kugeuza "UHAI WA CCM" kuwa "KIFO CHA CCM".
  5. S

    Uhai wa Chama Cha Mapinduzi

    Kama hujui kusoma usiandike,mimi ni SALUM "SANANE" na huyo uliyemtaja wewe ni BEN "SAANANE".Tumia akili.
  6. S

    Uhai wa Chama Cha Mapinduzi

    Kila mtu hupimwa kwa kauli zake,na hapo utamjua pimbi ni nani. Hoja si jina bali utekelezaji wa majukumu ya mtu.Labda nikiri tu kuwa umenisaidia kuelewa kuwa kuna watu ambao sio wana CCM wamejipachika ili kukiharibia chama muelekeo. Viongozi wa CCM sasa chukueni hoja hii kama ushahidi na hivyo...
  7. S

    Uhai wa Chama Cha Mapinduzi

    Wakati Katibu wa mkoa wa Tabora akikagua uhai wa chama wilayani Urambo,tarehe 12 mwezi huu alifika kata ya Kapilula. Kabla ya kuhutubia wananchi alikutana kwanza na viongozi wa kata na matawi. Katika hali isiyokuwa ya kawaida katibu huyo alishuhudia mwenyewa matawi yalivyokuwa yamekufa.Mfano...
  8. S

    Wasomi wa Tanzania wametoa mchango gani kwenye Taifa letu mpaka sasa?

    But ni vema tukaona ni jinsi gani solution inaweza kupatikana.
  9. S

    Wasomi wa Tanzania wametoa mchango gani kwenye Taifa letu mpaka sasa?

    Mtu anaposoma tarajio lake ni kuelimika. Na anapoelimika huwa na ujuzi wenye yakini na utambuzi mkubwa. Kila anachofanya huwa tayari amezingatia maadili na sheria. Aidha hujua mbinu na hoja sahihi zinazoweza kumfikisha kwenye lengo. Matatizo makubwa hutokea pale anapowaona watu wasio na elimu...
  10. S

    Ubinafsishjai na hali ya Mtanzania

    Niko wazi sana na sikatawaliwa na nidhamu ya woga,usinifikirie chochote kuhusu woga. Awali ya yote nimekuunga mkono kwa kubainisha wazi kuwa Benjamin Mkapa alitaingiza katika ubinafsishaji kwa kukurupuka. Labda niende kinyume na wewe kidogo niseme aliangalia maslahi yake binafsi. Aliwabana sana...
  11. S

    Ubinafsishjai na hali ya Mtanzania

    Uko sawa,umenisaidia juu ya ukweli wa siasa za nchi hii. Nilichojifunza kutoka kwako ni ubovu,ubinafsi na uroho wa wanasiasa wa nchi hii. Nakumbuka rerikali ya awamu ya pili ililiona hili ndipo wachimbaji wadogo waliporuhusiwa kuendelea na juhudi zan. Istoshe badala ya usumbufu wa kuuya kwa...
  12. S

    Ubinafsishjai na hali ya Mtanzania

    Nimekuwa najiuliza bila kupata majibu yaliyo sahihi,ndiyo maana leo naileta hoja yangu hii ili nisaidiwe. Suala la ubinafsishaji nimekuwa nalilinganisha na unyanyasaji mkubwa kwa watanzania hasa wa hali ya chini. Si vibaya nikisema kuwa ni juhudi za makusudi zilizoandaliwa kwa lengo la kumjengea...
  13. S

    Wewe unasema masikini na hawa wanao lala ovyo watakuwa hali gani? Fikiria sana

    Umasikini ni kilema. Tena kilema kikubwa sana zaidi ya kilema unachofikiria wewe. Angalia ni walemavu wangapi wenye pesa wanaoishi katika hali bora ya maisha. Hawafikirii chochote juu ya ulemavu wao. Ukiwaona majukwaani wanaongelea ulemavu wa viungo ni kujiona tu wana kasoro katika miili yao...
  14. S

    Nifanyeje ili niwe na uwezo mkubwa wa kufikiri?

    Humu Jf kuna makundi yote. Wenye busara Wehu nk
  15. S

    Nifanyeje ili niwe na uwezo mkubwa wa kufikiri?

    Jamii Forums..... (V) CHADEMA...... (X)
Back
Top Bottom