Aisee nimeamini watu wanajua kutunga jamani daaa, Siwale tunamfaham in and out bidii yake ya usimamizi wa shule, kulikuwa na nidhamu ya hali ya juu, shule ilikuwa safi mno, kilimo kilikubali sana shule ilijitegemea kwa chakula hapo ndipo alipoanza kupata umaarufu hadi Rais Nyerere akaja kujionea...