Kwa mtazamo wangu sioni kama ni vizuri kusherehekea miaka 3 ya kuwa raisi ilhali unajua kabisa uraisi wako umeupata kingekewa baada ya kufariki aliyekuwa rais wako wewe ukiwa makamu wake na hata kwenye kumbukizi ya kifo chake hakuwahi kwenda zaidi ya kutuma mwakilishi
Kwa mtazamo wangu sioni kama ni vizuri kusherehekea miaka 3 ya kuwa raisi ilhali unajua kabisa uraisi wako umeupata kingekewa baada ya kufariki aliyekuwa rais wako wewe ukiwa makamu wake na hata kwenye kumbukizi ya kifo chake hakuwahi kwenda zaidi ya kutuma mwakilishi
Binafsi Uzanzibari wake tuu ni sababu tosha ya kutokubali, haiwezekani Tanganyika tuongozwe na raisi kutoka nchi nyingine kwa kivuli cha muungano usioeleweka,ni vyema rasilimali za Tanganyika zisimamiwe na watanganyika halisi na ziwanufaishe watanganyika ,sio rasilimali za Tanganyika zinufaishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.