Recent content by salim kimosa

  1. salim kimosa

    Wazee wa Tec: Hizi All in One PC kuna kitu pale au takataka tu?

    Naomba kuju bei ya kioo cha hp 200 G4 22 all - in - one pc 22.99"
  2. salim kimosa

    Mpesa MasterCard Tanzania: Kama unapenda uhakika wa malipo yako mtandaoni USIITUMIE

    Sasa unamchimba mkwara mtu aliyeibiwa na wakati amewasiliana na wahusika na mekubali kuwa atarudishiwa, wewe ni nani mpaka ukatae? achaVoda wenyewe wajibu
  3. salim kimosa

    Mwanamke kuonesha ishara ya dole la kati ni ulimbukeni uliotukuka

    Mkuu kuna Manzi kakuonyeshea nini? mwambie ashindwe
  4. salim kimosa

    Loan Board; Makato yamefanyika lakini deni halijapungua hata senti!!

    Lakini hili tatizo sio kwenye Board ya mikopo tu hata kwenye mikopo ya Mabenki bado makato yapo vilevile na makato yamekatwa.
  5. salim kimosa

    Binti miaka 16 atoa siri za freemason

    Habari yenyewe imetoka kwenye gazeti la udaku hawa jamaa si wakuwamini kabisa, wapeleke uongo mbele
  6. salim kimosa

    Tukutane NMB, Mshahara umetoka

    Kwa kweli mimi ni mtumishi wa umma na mshahara ni haki yangu, watumishi wenzangu mshahara tayari tangu saa tano
  7. salim kimosa

    Nisamehe Baba yangu, watoto wengi wanaamini Mama hajawahi kukosea

    Mara nyingi Wazazi wa kiume wanazingua sana,Mimi mzee wangu alizingua sana narudishwa ada yeye hana habari ukimfuata ofisini anazingua, ila pamoja na hayo yote nampenda sana mzazi wangu maana bila yeye sio mimi
  8. salim kimosa

    Dada, uliza lolote la msingi kuhusu sisi wanaume, nitakujibu

    Tupo ila tatizo wengine hawakubali kukataliwa
  9. salim kimosa

    Dada, uliza lolote la msingi kuhusu sisi wanaume, nitakujibu

    Huo sio uanaume ni Umama ulipitiliza, kama mtu hataki na mali yake yanini kumkashifu na kumtukana
  10. salim kimosa

    Dada, uliza lolote la msingi kuhusu sisi wanaume, nitakujibu

    itakuwa na nyie siku hizi mna vina vipana
  11. salim kimosa

    Kuna haja ya kulipa marejesho ya Mkopo wa TALA wakati Kuna kesi mahamakani?

    Mimi mwenyewe wananidai, nawalipe mkopo wao tarehe 24/04/2019 170000 mi
  12. salim kimosa

    Siku hizi wanaume ndio wanaolia msibani

    Wanaume kwa kweli tulipofikia pabaya sana, mwanaume unalia msibani mwanamke afanyaje sasa? mbaya zaidi hata kwenye mahusiano unamvisha mwanamke pete huku unalia, huu ni umama kwa kweli
  13. salim kimosa

    On the top of mount Kilimanjaro

    Haikuwa kazi rahisi ila kwa uwezo wa M/Mungu ndoto zangu zimetimia
Back
Top Bottom