06% Retention fees haikatwi separate, bali kwenye deni lako. Kwanza hii huongezeka kila siku kwa kiwango cha %6/365 na sio 06% kila July kama ulivyoandika hapa.06% ya value retention fee ni wizi unaofanywa na Mzalendo na CCM yake! Wanufaika wengi hawajui ni hivi kwawanaodaiwa na Bodi/serikali mfano unadeni la 15M ukakatwa 15% ya kila mwezi kwa mwaka utakua umelipa takriban 2M kwa mwenye mshahara wa 1.2M sasa ikifika July Mosi yani mwaka wa fedha wanakata 06% ya kile kilichobaki yani 13M toka 15M kwahiyo 13M× 06%= 1,300,000/ Hivyo hiyo Million 1.3 inajumlishwa kwenye Deni lako la 13M unakuta deni limeongezeka tena hadi 14.4M unashangaaa.,.Hii ndo serikali ya wanyange..Waambieni Bodi ni jinamizi ni wezi wakiongozwa na Mzalendo
Mkuu hayo makato ni automatic.... April hela imekatwa lakini May deni ni lilelile...Nataka tuu kufahamu nani anayetoa sallary slip na ni system gani inayorekodi kua makato haya yamefanyika na deni au madeni yamebakia kiasi hiki.
Wakati mwingine tutamlaumu mtu au watu wasiohusika. Nadhani kinachoonekana ni kwa watumishi wa serikali ambao system inayotumika kutoa sallary slip ni moja kama sijakosea. Ila nikiangalia kwa makini naona sio loan board bali ni mwajiri au mtandao anaoutumia mwajiri anayemiliki na kutoa sallary slip hiyo.
Kumbuka loan board huwa hawaoneshi kila mwezi kua deni lako limebaki kiasi gani bila ya wewe kuomba status.
Hayo ni maoni yangu i stand to be corrected.
unacheck vp deni la heslb?? Naomba japo hata links niweze kucheck deni.Write your reply...ni kweli kabisa ,deni limebaki pale pale ,ni wizi au ujambazi?
Unafanya kazi wapi!?unacheck vp deni la heslb?? Naomba japo hata links niweze kucheck deni.