Recent content by Sakidala

  1. S

    Kukumbushia mauaji ya sokoine ni sahihi ?

    Kwan kasema nini mkuu, funguka
  2. S

    Supermarket inayomilikiwa na Wachina Dar yabagua Watanzania weusi

    Ngoja nijaribu kupitia hapo leo nione mwenyewe kama watanikatalia, ila hili jambo kama ni kweli ni baya sana
  3. S

    Maoni yako katika utata huu

    Kabla ya kuchangia ni vizur kusoma mada vizuri kwanza. Me nadhani ni katabia ka kuiga wakenya kamezoeleka hadi kuonekana kama fasheni kuchanganya lugha hizo mbili
  4. S

    USHAURI: Jinsi unavyoweza kuwa na usimamizi mzuri wa fedha zako ili kufikia UTAJIRI

    Asante mkuu kwa hili somo lako zuri, nimekuwa nikilifanyia kazi kwa miaka kama 10 iliyopita na hadi sasa bado naendelea kulifanyia kazi, nimefurahi sana kujua kuwa njia nliyokuwa naifuata wapo wengine wanaoamini hivyo.
  5. S

    Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

    Wakuu mimi ni mpya kwenye uzi huu ila nimevutiwa sana na hili jambo la kuwa na vikao vya kukutana wajasiriamali kwa ajili ya kutengeneza network zaid, hope kama tutakuwa serious kuna sehemu tutafika. Hongera sana kwa aliyeanzisha hili wazo
  6. S

    Tofauti kati ya inbox ya mdada na mkaka

    Hahahahah ukweli mtupu
Back
Top Bottom