Kukumbushia mauaji ya sokoine ni sahihi ?

Kukumbushia mauaji ya sokoine ni sahihi ?

RockSpider

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2014
Posts
6,859
Reaction score
2,762
Sijamuelewa Magufuli ama Magufuli hajui hatari ya Kukumbushia Kifo cha Edward Moringe Sokoine ... Wote tunajua kilichomtokea Mzee wetu aliekuwa anapambana na Udhalimu wa wa CCM ... Same kwa Mgimwa, Mvungi, Kombe, Ballow, Mwangosi, Kolimba, Nyerere et al ... Je Mwagufuli anaimarisha Chama chake ama amechanganyikiwa?
 
Magufuli hajitambui na vibaka wa ccm wanamuangalia tu, wanasubiri akibahatika akaingia ikulu wamuonyeshe kuwa wao wananguvu kwenye nchi hii
 
Anaendeleza tabia yake ya ukurupukaji kila siku huwa nawaambia wanaccm wenzangu kuwa tulikosea kumkata Lowasa hapa hatuna mgombea wala Mwenyekiti wa chama!
 
Haaaaa wamekurupuka kumuweka huyu jamaa ataamrisha tupige push up nchi nzima haaaaa! Haaaa! Nimemkumbuka iddi amini dada. Teh teh teh !
 
Back
Top Bottom