Recent content by Sakayonsa

  1. Sakayonsa

    Baada ya kumuoa ndio nimejua alishazaa na mwanaume mwingine

    Pole sana mkuu kama alikuficha achana naye kabisa na ufungue ukurasa mpya.
  2. Sakayonsa

    Nimueleweje, aliniacha na ujauzito na kuoa mwanamke mwingine

    Nani kakwambia mimba ndiyo tiketi ya kuolewa ika pole.
  3. Sakayonsa

    Ushauri: Nina maumbile madogo ya uume

    Mkuu hiyo tosha kabisa piga shoo za kijanja wala usiwaze
  4. Sakayonsa

    Ukiona haya kwa mkeo kuwa dikteta haraka

    Aisee mimi mwanamke akisha toka kwenye Orign church yake kwisha ameshapotea Imani ni mtu mwenyewe yaani hawa wanawake wamekuwa wahanga wa kutangatanga kwenye makanisa mno na huishia kwa ndoa zao kuvunjika.
  5. Sakayonsa

    Vijana kuwachukua mimama!!

    Kiukweli hata mimi huwa napenda san hawa wa mama ila bado sijambahatisha nikipata najituliza naye videmu vipite hivi.
  6. Sakayonsa

    Tumefunga ndoa, baba mkwe ametupa kiwanja hati jina la mke wangu

    Duuu baba mkwe wako mjanja kweli ila mkuu jenga cha kwako then ukimaliza mjenge nyumba ya kupangisha hapo kwa mkeo maana ni haki yenu ili likitokea la kutokea usiumie sana uwe umesha kula kodi kidogo mimi pia mke wangu alipewa kiwanja na kina jina lake nilichofanya nimezungushia ukuta tunalima...
  7. Sakayonsa

    The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

    Aaaah kila siku mkuu
  8. Sakayonsa

    Ushauri: Nina uhusiano na binti wawili, nataka kuacha mmoja

    Mkuu wa miaka Sita ni bora sana kuliko huyo wa miezi kadhaa ukimtosa huyo wa miaka sita ni hakika utakuja jutia nikutakie maamuzi mema.
  9. Sakayonsa

    Hii kweli inawezekana?

    Hapana huwa natumia mbuni ya mche nakata kipande naamsha nacho.
  10. Sakayonsa

    Hii kweli inawezekana?

    Nijikute nachepuka alafu naogea Eva huwa nanunua sabuni inayofanana na ninayotumia home mii sii fala [emoji15] [emoji15] [emoji125]
  11. Sakayonsa

    Fuata njia hizi, mwanamke hakukatai ng`oo hata awe vipi

    Mpe pesa punguza kuombaomba na kulia shida kila wakati.
  12. Sakayonsa

    Je, ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto?

    Mkuu wanawake woooote hao hujaona mpaka uoe mwenye mtoto itakula kwako mkuu.
  13. Sakayonsa

    Mwanaume hupaswi kuoa mwanamke mwenye mtoto kabisa

    Wewe owa tu mkuu hujakatazwa ila Mimi haitakaa itokee.
  14. Sakayonsa

    Mwanaume hupaswi kuoa mwanamke mwenye mtoto kabisa

    Sidanganyiki nimpeleke wapi aluyezaa ooiii.
Back
Top Bottom