Recent content by Sakasaka Mao

  1. Sakasaka Mao

    Alex Mkama Apandishwa Cheo Kuwa Kamishna wa Polisi, Ateuliwa Kuongoza Polisi Jamii

    Ni wa kawaida sana, udogo unambeba. Unadanganywa na umri wake kwa vile ana umri mdogo. Emb muongezee miaka 10 mbele uone atakuwaje!
  2. Sakasaka Mao

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Hilo kitakwimu nalikataa, hakupata kura hata 1. Yaani hakupata mtu yeyote aliyemchagua isipokuwa ile kura 1 ni ya kwake mwenyewe, kwa sababu naye alipiga kura.
  3. Sakasaka Mao

    GE2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

    Mkuu haukupata kura 1, weka hesabu sawa, ulipata kura 0. Kwani wewe hukupiga kura? Kama ulipiga kura, ulimpigia mtu mwingine? Kama ulijipigia wewe na ukapata kura1, utamshukuruje aliyekupigia kana kwamba haumfahamu, wakati mtu huyo ni wewe mwenyewe? Kwa nini usijishukuru mwenyewe kwa...
  4. Sakasaka Mao

    Nje ya Dar, majiji mengine yana nafuu kwenye dating na kupata wife material ?

    Kwa hiyo mkuu, pamoja na msimamo wako wa kuoa bikira, haujatueleza namna utavomkagua huyo mchumba'ako bikira yake. Namaanisha hivi: kwa ndoa za kikristu nadhani na kwa madhehebu mengine pamoja na tamaduni nyingi hapa Tz, hauruhusiwi kumkaribia mchumba'ako hadi ndoa. Hilo la kwanza, la pili...
  5. Sakasaka Mao

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Kama na Ulaya nao wamo basi jambo hilo ni kweli.
  6. Sakasaka Mao

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Majirani zetu wa EAC hawamo, wanawake zao wanajitambua.
  7. Sakasaka Mao

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Kumbe kustaafu ni kufa na kustaafishwa ni kuuawa! BAKITA wanasemaje kuhusu hiki kiswahili kitarafa? Itoshe kusema kwamba, mauaji ni kesi kubwa sana nchini mwetu, kwa hiyo unapomtuhumu mtu juu ya jambo hilo ovu kabisa, hakikisha lugha aliyoitumia katika kuwasilisha ujumbe wake ovu, kuwa...
  8. Sakasaka Mao

    Pakistan yaipigia magoti Israel kuiomba isiwaue Abbas Araqchi na Mohammed Bakari kwani ni watu muhimu kwenye mazungumuzo.

    Mkuu hujaelewa kiini cha jambo hilo. Mara kadhaa Marekani wamekuwa wakidai kufanya mazungumzo na Iran, huku Iran yenyewe ikikanusha. Ukweli wa mambo ni kwamba viongozi wa kiSerikali wa Iran tayari wameshagawanyika kimsimamo. Ni kweli kabisa kuna kundi la viongozi wa Iran wanafanya maongezi...
  9. Sakasaka Mao

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Walimnyakua wakamtema tulivyochachamaaga kipindi kile!
  10. Sakasaka Mao

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Weka vielelezo vya uzuri wa mwanzo wake. Maana mapema kabisa tulianza kusikia vijana wa kambi wakianza kulia njaa, mimea ya project kunyauka nk nk. Miradi hiyo ilianzishwa kwa manufaa binafsi ya Bashe, si kwa ajili ya kunyanyua vijana wa Tz.
  11. Sakasaka Mao

    Kifo cha William Lukuvi na Jenista Muhagama. Ni fumbo kubwa linalotakiwa kufumbuliwa, Who is Next?

    Kuna kimoja cha muhimu sana kuwatia jasho hata washinde kwenye viyoyozi. Nadhani umekisahau au umekiacha kukitaja kwa makusudi.
  12. Sakasaka Mao

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Yaani zimekanyagwa kwa kubanwa kwenye kiatu ka'mtu anaua nyoka! Mmiliki wake alipona kweli?
  13. Sakasaka Mao

    Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

    Hivi mapenzi kumbe ni mbususu tu?
  14. Sakasaka Mao

    Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

    Na hicho ndicho kinawadatisha sana ma-men! Sura mbaya unakuta inamliza mwanaume handsome na wadhifa wake, wadhani kunakuwa na nini kimefichika?
  15. Sakasaka Mao

    Kuna Maudhui Mengine kwenye Social Media yanapaswa kuzuiwa Tanzania

    .. 'Bongo kwenye muziki tunafanya vizuri'... Tungo za matusi za akina Diamond na Harmonize na wengineo kwako huko ni kufanya vizuri? Hiyo clip uliyotuwekea hapo wadhani huyo kijana ni rijali? Clip za machoko mbona zinajulikana?
Back
Top Bottom