Hilo kitakwimu nalikataa, hakupata kura hata 1.
Yaani hakupata mtu yeyote aliyemchagua isipokuwa ile kura 1 ni ya kwake mwenyewe, kwa sababu naye alipiga kura.
Mkuu haukupata kura 1, weka hesabu sawa, ulipata kura 0.
Kwani wewe hukupiga kura?
Kama ulipiga kura, ulimpigia mtu mwingine?
Kama ulijipigia wewe na ukapata kura1, utamshukuruje aliyekupigia kana kwamba haumfahamu, wakati mtu huyo ni wewe mwenyewe?
Kwa nini usijishukuru mwenyewe kwa...
Kwa hiyo mkuu, pamoja na msimamo wako wa kuoa bikira, haujatueleza namna utavomkagua huyo mchumba'ako bikira yake.
Namaanisha hivi: kwa ndoa za kikristu nadhani na kwa madhehebu mengine pamoja na tamaduni nyingi hapa Tz, hauruhusiwi kumkaribia mchumba'ako hadi ndoa.
Hilo la kwanza, la pili...
Kumbe kustaafu ni kufa na kustaafishwa ni kuuawa!
BAKITA wanasemaje kuhusu hiki kiswahili kitarafa?
Itoshe kusema kwamba, mauaji ni kesi kubwa sana nchini mwetu, kwa hiyo unapomtuhumu mtu juu ya jambo hilo ovu kabisa, hakikisha lugha aliyoitumia katika kuwasilisha ujumbe wake ovu, kuwa...
Mkuu hujaelewa kiini cha jambo hilo.
Mara kadhaa Marekani wamekuwa wakidai kufanya mazungumzo na Iran, huku Iran yenyewe ikikanusha.
Ukweli wa mambo ni kwamba viongozi wa kiSerikali wa Iran tayari wameshagawanyika kimsimamo.
Ni kweli kabisa kuna kundi la viongozi wa Iran wanafanya maongezi...
Weka vielelezo vya uzuri wa mwanzo wake.
Maana mapema kabisa tulianza kusikia vijana wa kambi wakianza kulia njaa, mimea ya project kunyauka nk nk.
Miradi hiyo ilianzishwa kwa manufaa binafsi ya Bashe, si kwa ajili ya kunyanyua vijana wa Tz.
.. 'Bongo kwenye muziki tunafanya vizuri'... Tungo za matusi za akina Diamond na Harmonize na wengineo kwako huko ni kufanya vizuri?
Hiyo clip uliyotuwekea hapo wadhani huyo kijana ni rijali?
Clip za machoko mbona zinajulikana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.