Na bado tunapata sifa za Mwenyezi Mungu kwamba hana mwanzo!
Kwa nini mawazo yetu yajikite kwenye 'mwanzo' tu?
Je haiwezekani Mungu alishaziumba 'mianzo' kibao, walioumbwa wakaishi zao trillions of years and then Mungu akazigharikisha ama kuzipiga 'kiama' na kuanzisha 'mwanzo' mpya...
Ndiyo maana mamlaka za nchini Rwanda, zimepiga ban mipombe mikali toka Tz, sasa wanabakia kuilaumu Rwanda!
Kumbe mchawi ni Tbs kutokufuatilia ubora wa bidhaa.
Wana line za internet, ukinunua unabweteka, maana hauhitaji mawaya waya, sijui antenna za wi fi, ah aah.
Hawa wameiona kesho yao ya kibiashara mapema sana wakati mitandao mingine bado ipo kwenye usingizi wa kikiritimba.
Urafiki wa namna hiyo haupo.
Labda itawezekana iwapo watu hao ni 'wagonjwa' wa hormones.
Huwezi kumpenda mwanamke halafu ukakosa hisia za kufanya naye mapenzi.
Fikiri upya mkuu.
Je wajua kuwa hivi sasa Tz kuna janja jaanja nyingi sana ya wafanya biashara kuanzia uzalishaji?
Ni mara ngapi tumeshuhudia konyagi na pombe kali nyinginezo zikisagwa na Catapiler kwa sababu ni fake?
Rushwa imetamalaki sana nchi hii na hakuna cha kuwafanya maharamia
Kiukweli mtu mwenye presha asipozingatia ratiba ya ulaji wa kujinyima, presha huwa haipungui bali huendelea kupanda na kuleta madhara ya ndani ya mwili bila yeye kujua.
Presha ni ugonjwa unaoitwa 'silent killer' kwa sababu hauumi na hauna dalili.
Uelewe madhara yake ni kiharusi na magonjwa ya...
Huyo kakumbana na makatazo ya madaktari, sasa hapo familia inamlinda.
Ukifikia umri wa miaka 60 kwa maisha ya sasa, presha haiepukiki, kisukari, gout na kwa wanaume :tezi dume.
Magonjwa ya presha, kisukari na gout masharti ya ulaji wa chakula yanafanana: kupunguza kiwango cha sukari, manyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.