Recent content by Sakasaka Mao

  1. Sakasaka Mao

    Angalia nyendo zako usije kuwa deleted

    Siyo chai ni kahawa yenye macho na mdomo!
  2. Sakasaka Mao

    Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

    Kikubwa umeshajua na kushitukia dili. Ninavyojua aina zote za utapeli huanza hivyo na kuishia kuombwa hela kabla huduma tarajali haujaipata. Iwe bahati nasibu, iwe zawadi nk nk. Huoneshwa kama shoo na kisha kutakiwa kutuma kiasi fulani kwa ajili ya kulipia gharama za usafirishaji ama gharama...
  3. Sakasaka Mao

    Takwimu: Mtu mmoja anakunywa pombe lita 10.4

    Ni hivi: bia za walala hoi kipimo cha chupa moja ni 0.5lt yaani nusu lita. Na kiafya unashauriwa unywe bia2 kwa siku, maana yake lita 1 kwa siku. Mwaka mmoja una siku 365, hapo maana yake ni bia crete36. 5. Kwa ufafanuzi huo, mtu mmoja anatakiwa kunywa kwa afya Sim tank zima la bia lenye...
  4. Sakasaka Mao

    Vijana ambao mnatafuta Ajira Ogopeni Sana hizi namba za simu

    Siyo wachawi wala nini, wale wanacheza na saikolojia ya mtu. Ni kama waganga wanaopiga ramli chonganishi.
  5. Sakasaka Mao

    Tasnia ya Habari na vifo vya mapema, nini kipo nyuma ya pazia?

    Umri mdogo wa kufa ni miaka chini ya 70 ambayo imeandikwa hata kwenye vitabu vitakatifu. Ukifa 70+ haifikirishi sana. Watu msibani watakuwa wanauliza... 'Hivi huyu mzee alikuwa anaumwa nini'...huku wakichati na kinamama kulia machozi ya kulazimisha ya msibani kuonesha naye kalia.
  6. Sakasaka Mao

    Tasnia ya Habari na vifo vya mapema, nini kipo nyuma ya pazia?

    Embu angazia na tasnia ya wanamuziki pia. Ukianza na wa kimataifa Bob Marley na wengineo, halafu uje na wa humu nchini kuanzia akina Chiriku Maneti na wengineo walivyokufa bado makinda. Ndiyo tuje tuivaliuate kwa pamoja nini kipo nyuma ya siri ya vifo vyao vya mapema?
  7. Sakasaka Mao

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Hiyo styl sijawahi isikia. Mwanaume si ataruka kama anahasiwa na mchezo uishie pale? Mwanaume anapenda kuchezea nyuma za watu, siyo kuchezewa nyuma yeye.
  8. Sakasaka Mao

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Unakuwa kidogo umelewa au kavu kavu kabisa macho makavu? 😁😁
  9. Sakasaka Mao

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Unaboa kutuelekeza page ambazo hazipo hapa. Kawaida mtu una attach link, inakuwa ni rahisi kwa msomaji kubonyeza na kuendelea kucheka zake. Sasa kama hili la 'kumla boss wako aliyekuzidi umri' ndo mimi nalitaka, lakini kunielekeza sehemu ambayo haujaweka link yake, umeifubaza furaha yangu.
  10. Sakasaka Mao

    Nimeaibika sana leo, nimejamba kikaoni mbele ya Binti nayempenda

    Kulifuta! Ina maana wewe hauwezi kukifuta ulichokiandika humu au nimekunukuu vibaya?
  11. Sakasaka Mao

    Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

    Hayo ma bila kupingwa yao ni mamilungula inafahamika. Safari hii lazima apitishwe kwenye tanuri la moto. Lakini hawa wana mbinu chafu nyingi, wanafukuza watia nia kwa dau kubwa na mizengwe mingine ovu, hadi anahakikisha kabakia peke yake. Halafu siku ya kura, mnampigia yeye na kivuli...
  12. Sakasaka Mao

    Takwimu: Mtu mmoja anakunywa pombe lita 10.4

    Lt. 10 kwa mwaka ni hatari! Wakati dr. Janabi anashauri mtu mmoja kupata bia mbili kwa siku ambayo ni lt. 1 (Balimi na Safari .. 0.5 lt) ie: 1x365 /10(crete) =lt 365.5 ama crete 36 na nusu kwa mwaka. Tena huo ni unywaji kwa afya. Sasa hizo crete 2 kwa mwaka halafu ni hatari kwa afya kwa nini...
  13. Sakasaka Mao

    Yusuph Manji: Hans Poppe alinipa wakati Mgumu sana enzi za uongozi wangu

    Mkuu ama nimesoma vibaya! 'Juzikati' na wakati jamaa alishadanja kitambo!
  14. Sakasaka Mao

    Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

    Lakini unazielewa 'swaga' zinazotokana na mtu kufanya mapenzi na mtu? Unashauri 'akaushe', enhe, moyoni linafutika? Bamkwe akitaka kutoa nasaha zake, af wewe unaanza kumtathimini kuanzia chini hadi juu na ukitaka apunguze ngebe zake unamkonyeza😂😂, bonge la jokes kulaleki. Yaani kila aina ya...
Back
Top Bottom