Recent content by Sakasaka Mao

  1. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Nidhamu yako ya pesa huwa inarudi ukibakiza kuanzia kiasi gani?

    Dah nimecheka sana kwa ufafanuzi huu. Kwa hiyo huyu mtoa mada, thamani yake ya uhimilivu ipo chini sana isee!
  2. Sakasaka Mao

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu ni mbaya Sana Kwa Sisi wanaume

    Basic needs jwako mkuu ni nini? Unaelewa kila mtu hapa duniani ana vipaumbele vyake? Kama mtu huru kafanya kungonoka ndiyo basics zake kakosea wapi hapo?
  3. Sakasaka Mao

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu ni mbaya Sana Kwa Sisi wanaume

    Kwa hiyo ukienda kuoga ipo hatari unaweza ukajibaka?
  4. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Nenda kwa mwandishi Belesi China, ataitoa fasta. Au ashahama hapo Bariadi?
  5. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Hata risasi na mpira siyo poa, kuna tissue zikikita mtu anakufa.
  6. Sakasaka Mao

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haifai: Mtu akikueleza tatizo usikimbilie kumshauri.

    Tusichokielewa tulio wengi ni kuwa, 'wazo' ni jambo linalozalishwa na ubongo wa mtu. Mtu anaweza kuwaza jambo lenye thamani sana lakini asiwe na uwezo wa kipesa ama wa kulitekeleza. Pia mtu mwenye uwezo wa kiuchumi si lazima awe na uwezo wa kuzalisha mawazo yenye tija. Kwa hiyo mawazo ama...
  7. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia, ni kawaida mtu kuopoa demu siku ambayo mzazi wake amefariki?

    Hiyo ni kujifariji roho. Wengine huondoa stress kwa kula.
  8. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Boss wa Wasiojulikana kamnyoshea mikono juu Askofu Gwajima?

    Na asingegangamala, ingelikuwa imebakia stori za waliopotezwa.
  9. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Mwanafalsafa Dkt. Joshua Maponga: Wanawaambia 'No Reforms, No election' wao wako hotelini London

    Huyo kalipwa. Vyanzo vyetu vimeshindwa kunukuu mapema ujio wa huyu kidudu mtu, ili tuweze kukaa naye chonjo.
  10. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Angalizo la Kiusalama: Makabila Hayafanani. Usiparamie paramie watu bila kuwajua makabila yao

    Pollunium haihitaji misuli kuangamizia mtu, ni ujanja na mbinu ya kuwahiana tu. Misuli ya ugali ama ulaini wa kula urojo hauna impact yoyote mweshimiwa.
  11. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Mwanasiasa gani katika medani za siasa usiyemuamini Tanzania/Tanganyika na kwanini?

    Toa code hiyo tushee sote huo uzoefu.
  12. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Magonjwa hayaishi kwa kula mavyakula ya hovyo kama haya

    Ulidhani zinatupwa?
  13. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania UKIMWI Upo: Siamini na mimi umenipata

    Kichwa cha habari 'unao' wewe huyo huyo unasema 'hauna'! Tukuweke fungu gani sasa?
  14. Sakasaka Mao

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    Kwa maelezo hayo, tayari umeonesha kitu ambacho wanawake wanataka!
  15. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati hapa Marekani wapambana Tanzania iondolewe kwenye AGOA

    Utawaombea waliowatwaa au waliotwaliwa?
Back
Top Bottom