Recent content by Sakasaka Mao

  1. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

    Na bado tunapata sifa za Mwenyezi Mungu kwamba hana mwanzo! Kwa nini mawazo yetu yajikite kwenye 'mwanzo' tu? Je haiwezekani Mungu alishaziumba 'mianzo' kibao, walioumbwa wakaishi zao trillions of years and then Mungu akazigharikisha ama kuzipiga 'kiama' na kuanzisha 'mwanzo' mpya...
  2. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Tbs ifumuliwe upya / ivunjwe kunusuru afya za watanzania

    Ndiyo maana mamlaka za nchini Rwanda, zimepiga ban mipombe mikali toka Tz, sasa wanabakia kuilaumu Rwanda! Kumbe mchawi ni Tbs kutokufuatilia ubora wa bidhaa.
  3. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Soko halina huruma. Kwa huu mlipuko wa biashara ya Wi-Fi, tunakoelekea internet itaanza kuuzwa sh 200, huku Serikali ikianzisha vibali na kodi mpya

    Wana line za internet, ukinunua unabweteka, maana hauhitaji mawaya waya, sijui antenna za wi fi, ah aah. Hawa wameiona kesho yao ya kibiashara mapema sana wakati mitandao mingine bado ipo kwenye usingizi wa kikiritimba.
  4. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Hivi kwanini watu wengi huyachukulia mapenzi kuwa ni 'ujinga'?
  5. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Swali la kufungia mwaka.
  6. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Urafiki wa namna hiyo haupo. Labda itawezekana iwapo watu hao ni 'wagonjwa' wa hormones. Huwezi kumpenda mwanamke halafu ukakosa hisia za kufanya naye mapenzi.
  7. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    'Kuhighlight' ni 'kuinterpret'? Elimu za siku hizi bhana!
  8. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Fikiri upya mkuu. Je wajua kuwa hivi sasa Tz kuna janja jaanja nyingi sana ya wafanya biashara kuanzia uzalishaji? Ni mara ngapi tumeshuhudia konyagi na pombe kali nyinginezo zikisagwa na Catapiler kwa sababu ni fake? Rushwa imetamalaki sana nchi hii na hakuna cha kuwafanya maharamia
  9. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Kwani kubutua kwa dharula siku moja moja unadhani kuna shida? Shida ni ufakamizi kuufanya ndiyo life stile yako!
  10. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Kiukweli mtu mwenye presha asipozingatia ratiba ya ulaji wa kujinyima, presha huwa haipungui bali huendelea kupanda na kuleta madhara ya ndani ya mwili bila yeye kujua. Presha ni ugonjwa unaoitwa 'silent killer' kwa sababu hauumi na hauna dalili. Uelewe madhara yake ni kiharusi na magonjwa ya...
  11. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Huyo kakumbana na makatazo ya madaktari, sasa hapo familia inamlinda. Ukifikia umri wa miaka 60 kwa maisha ya sasa, presha haiepukiki, kisukari, gout na kwa wanaume :tezi dume. Magonjwa ya presha, kisukari na gout masharti ya ulaji wa chakula yanafanana: kupunguza kiwango cha sukari, manyama...
  12. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM amwambia wazi rais Samia, haogopi kutekwa wala haogopi mtu

    Nimemwelewa, domo chafu, sijui walimtaim wapi tu!
  13. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM amwambia wazi rais Samia, haogopi kutekwa wala haogopi mtu

    Hiyo picha ya kiume waliyoattach kwenye comment #4.
Back
Top Bottom