Recent content by Sakasaka Mao

  1. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Hao ni mashahidi wake na si wa jamhuri. Lissu atamuongoza shahidi wake kujibu maswali ya faida. Shahidi akiwepo kizimbani ataongea kwa procedure, tena kwa kufuata muongozo wa maswali. Hatakuwa na uwezo wa kuongea kile ambacho hajaulizwa.
  2. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Mi nimeduwaa na picha ya huyu mtoto aliyepindua sufuria la madikodiko. Nimeitazama nina njaa hatari, sijala chochote, sasa uchu umenichuruzika.
  3. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Point kubwa sana hii. Hasa likija suala la 'kuitisha Serikali. '
  4. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Mkuu usikariri maneneno kiasi hicho. Uchafu unaweza kuzalisha bidhaa ama nishati yenye manufaa. Hujasikia kinyesi kinazalisha gesi? Ama mavi yenyewe yakatengeneza mbolea? Kuna uchafu mwingi tu unaoweza kutengeza bidhaa zenye manufaa Si kila uchafu ukawa hauna faida..
  5. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Hakuna anayelalamika hapo, ni kias cha kuelimishana tu mkuu na mtu ukaeleweka. Ushasikia mwanafunzi akamlalamikia 'teacher' wake juu ya materials anazotoa? Hilo jiko ka gas la kuchomea nyama limekaaje?
  6. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Mkuu wewe umeandika kihisia pia. Ukiwa haujatafiti, hauna haki ya kutoa mawazo yako. Majiko hayo namna teknolojia iliyotumika, hakuna moshi ama 'carbon' inayozalishwa kuchafua sufuria wakati wa kupika. Kinachounguzwa hapo wakati jiko likifanya kazi ni Oxygen, hiyo oil ni kisababishi cha...
  7. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Huko kwenu bado ghali pia. Maeneo ninayoishi ukiweka oda ni 20k, ama ukienda na "bombonya"' dogo unajaziwa bure.
  8. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Hiyo point yaweza kuwa sahihi. Maana jiko la oil chafu ni bonge la jiko economicaly vibaya sana. Gharama ni kulinunua, lakini matumizi mtu unabweteka.
  9. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Huwa unamwaga 'nishati safi'. Hata mimi kabla, sikuweza kuamini kama oil chafu inaweza kuwa nishati safi kutumiwa bila ya kuchafua mazingira wala vyombo vya kupikia.
  10. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Kuanzia laki na nusu hadi laki mbili kutegemeana na ukubwa unaoutaka. Maana kuna 'plate1' na 'plate2', urefu wa miguu ya jiko nk nk. Kifupi ni hivyo, vijana wasomi wametumia akili zao kubuni hiyo teknolojia. Ukiyaona namna yanavyofanya kazi lazima uta appriciate.
  11. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Umeuliza uliza vijimaswali vingii kwa kuzunguka zunguka, ni wewe nini mkuu unafanywa informer bila ridhaa yako? Ni "chawa" mlamba miguu pekee ndiye anayeweza kufanya huo ujasusi wa ridhaa bila kujua. Kwa mwingine usiye chawa, lazima ushawishiwe kwanza kuungwa kwa kazi ya uinforner na kupewa...
  12. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Yahweh ni jina la Mungu?

    "Alikuwa" na kwa sasa yuko wapi?
  13. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Kataa kurudiana naye na ujiandae kwa kesi atakapozivujisha. Tena andaa mawakili mapema, ili akikufanyia ushenzi wake wowote moto umuwakie. Kurudiana naye kwa masharti ya "kulinda siri zako" ni utumwa wa ngono huo na ni umateka wa kisaikolojia.
  14. Sakasaka Mao

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Firdausi ndiyo! Si wanakwambia huko hakuna cha kuabudu tena, ni mwendo wa kula raha tu! Dhahania ya kufikirisha sana! Yawezekana roho zote za wanadamu zikageuzwa 'dume', halafu mabikira wakawa ni wa kubumba, unawakuta huko wamesubirishwa. Hawezekani shari na heri zote zielekezwe kwa jinsia...
Back
Top Bottom