Basic needs jwako mkuu ni nini?
Unaelewa kila mtu hapa duniani ana vipaumbele vyake?
Kama mtu huru kafanya kungonoka ndiyo basics zake kakosea wapi hapo?
Tusichokielewa tulio wengi ni kuwa, 'wazo' ni jambo linalozalishwa na ubongo wa mtu.
Mtu anaweza kuwaza jambo lenye thamani sana lakini asiwe na uwezo wa kipesa ama wa kulitekeleza.
Pia mtu mwenye uwezo wa kiuchumi si lazima awe na uwezo wa kuzalisha mawazo yenye tija.
Kwa hiyo mawazo ama...
Pollunium haihitaji misuli kuangamizia mtu, ni ujanja na mbinu ya kuwahiana tu.
Misuli ya ugali ama ulaini wa kula urojo hauna impact yoyote mweshimiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.