Hao ni mashahidi wake na si wa jamhuri.
Lissu atamuongoza shahidi wake kujibu maswali ya faida.
Shahidi akiwepo kizimbani ataongea kwa procedure, tena kwa kufuata muongozo wa maswali.
Hatakuwa na uwezo wa kuongea kile ambacho hajaulizwa.
Mkuu usikariri maneneno kiasi hicho.
Uchafu unaweza kuzalisha bidhaa ama nishati yenye manufaa.
Hujasikia kinyesi kinazalisha gesi?
Ama mavi yenyewe yakatengeneza mbolea?
Kuna uchafu mwingi tu unaoweza kutengeza bidhaa zenye manufaa
Si kila uchafu ukawa hauna faida..
Hakuna anayelalamika hapo, ni kias cha kuelimishana tu mkuu na mtu ukaeleweka.
Ushasikia mwanafunzi akamlalamikia 'teacher' wake juu ya materials anazotoa?
Hilo jiko ka gas la kuchomea nyama limekaaje?
Mkuu wewe umeandika kihisia pia.
Ukiwa haujatafiti, hauna haki ya kutoa mawazo yako.
Majiko hayo namna teknolojia iliyotumika, hakuna moshi ama 'carbon' inayozalishwa kuchafua sufuria wakati wa kupika.
Kinachounguzwa hapo wakati jiko likifanya kazi ni Oxygen, hiyo oil ni kisababishi cha...
Huwa unamwaga 'nishati safi'.
Hata mimi kabla, sikuweza kuamini kama oil chafu inaweza kuwa nishati safi kutumiwa bila ya kuchafua mazingira wala vyombo vya kupikia.
Kuanzia laki na nusu hadi laki mbili kutegemeana na ukubwa unaoutaka.
Maana kuna 'plate1' na 'plate2', urefu wa miguu ya jiko nk nk.
Kifupi ni hivyo, vijana wasomi wametumia akili zao kubuni hiyo teknolojia.
Ukiyaona namna yanavyofanya kazi lazima uta appriciate.
Umeuliza uliza vijimaswali vingii kwa kuzunguka zunguka, ni wewe nini mkuu unafanywa informer bila ridhaa yako?
Ni "chawa" mlamba miguu pekee ndiye anayeweza kufanya huo ujasusi wa ridhaa bila kujua.
Kwa mwingine usiye chawa, lazima ushawishiwe kwanza kuungwa kwa kazi ya uinforner na kupewa...
Kataa kurudiana naye na ujiandae kwa kesi atakapozivujisha.
Tena andaa mawakili mapema, ili akikufanyia ushenzi wake wowote moto umuwakie.
Kurudiana naye kwa masharti ya "kulinda siri zako" ni utumwa wa ngono huo na ni umateka wa kisaikolojia.
Firdausi ndiyo!
Si wanakwambia huko hakuna cha kuabudu tena, ni mwendo wa kula raha tu!
Dhahania ya kufikirisha sana!
Yawezekana roho zote za wanadamu zikageuzwa 'dume', halafu mabikira wakawa ni wa kubumba, unawakuta huko wamesubirishwa.
Hawezekani shari na heri zote zielekezwe kwa jinsia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.