Wana line za internet, ukinunua unabweteka, maana hauhitaji mawaya waya, sijui antenna za wi fi, ah aah.
Hawa wameiona kesho yao ya kibiashara mapema sana wakati mitandao mingine bado ipo kwenye usingizi wa kikiritimba.
Urafiki wa namna hiyo haupo.
Labda itawezekana iwapo watu hao ni 'wagonjwa' wa hormones.
Huwezi kumpenda mwanamke halafu ukakosa hisia za kufanya naye mapenzi.
Fikiri upya mkuu.
Je wajua kuwa hivi sasa Tz kuna janja jaanja nyingi sana ya wafanya biashara kuanzia uzalishaji?
Ni mara ngapi tumeshuhudia konyagi na pombe kali nyinginezo zikisagwa na Catapiler kwa sababu ni fake?
Rushwa imetamalaki sana nchi hii na hakuna cha kuwafanya maharamia
Kiukweli mtu mwenye presha asipozingatia ratiba ya ulaji wa kujinyima, presha huwa haipungui bali huendelea kupanda na kuleta madhara ya ndani ya mwili bila yeye kujua.
Presha ni ugonjwa unaoitwa 'silent killer' kwa sababu hauumi na hauna dalili.
Uelewe madhara yake ni kiharusi na magonjwa ya...
Huyo kakumbana na makatazo ya madaktari, sasa hapo familia inamlinda.
Ukifikia umri wa miaka 60 kwa maisha ya sasa, presha haiepukiki, kisukari, gout na kwa wanaume :tezi dume.
Magonjwa ya presha, kisukari na gout masharti ya ulaji wa chakula yanafanana: kupunguza kiwango cha sukari, manyama...
Hivi huyu asiyeujua kupiga mswaki ni nani, mbona anafanana sana na mheshimiwa mmoja anayetokea 'kanda ya ziwa', ni yeye?
Maana picha hii imetrendishwa sana kinyama na walami!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.