Recent content by saitech

  1. S

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Ningependa kuuliza watanzania wenzangu wanaokazania kujua vyeti vya makonda badala ya kujua serikali inamiliki nini Na nini Na vinaiingizia nchi nini lakini watanzania wanaojitia wasomi wa Jamii Forum wanaandjka hoja za kijinga Na kutafsri ujinga wa kupotosha Jamii huku shule mlienda kujifunza nini?
  2. S

    Masaa 3 Kumsubiri bwana mkubwa apite

    Kaka siyo mbere kwa mbere ni mbele kwa mbele
  3. S

    Bernard Membe na Augustino Mahiga, nani alikuwa Waziri bora wa Mambo ya Nje?

    Ache umbea Na unafiki Membe alipokuwa waziri mlidai eti Membe anacheka cheka tu oooh mpaka Malawi wanatuchezea mara yupo sawa Na kikwete wanacheka cheka tu VP Leo tena acheni unafiki wa kishenzi shenzi
  4. S

    Lukuvi na Nape Wamethubutu

    Ila Mimi naona wanaochangia mada humu ndani %100 ni wanafiki Na wazandiki kama kweli haya tunayoyajadili ni yakutoka moyoni hebu tuwe wa wazi Na tuanze kuandika majina yetu ya kuzaliwa kwenye kurasa zetu ya Jamii Forum Na kuweka picha zetu sababu tunaandika majina ya marehemu ambao hawapo...
  5. S

    CHADEMA na UKAWA wataanguka vibaya sana 2020 tofauti na awamu zilizopita

    Unaweza kutafuta nauli Na muda uzunguke mikoa mitano ya Tanzania popote unapopenda halafu hoji wananchi utajua lipiimefanyika Na lipi bado
  6. S

    Uhamisho wa wafanyakazi lini?

    Tumia Kiswahili moja kwa moja tukuelewe acha kiswanglish hatutakuelewa wengine hatujasoma
  7. S

    Wanawake tunakuwa na thamani pale tunakuwa tumevaa nguo

    Bora toy likusugue sugue Bora upate utamu asilia
  8. S

    Rais Magufuli ashiriki ibada ya Jumatano ya majivu Mt Petro

    Ache kujadili vitu vya kijinga fanyeni kazi acheni majungu
  9. S

    Huyu ndiyo Mzee Kikwete (kuhusu baadhi tusiyoyajua)

    Angalia kauli zako
  10. S

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    Kwa niwatake nyie wote mnao potosha watu kuwa dar ni kubwa kuliko mikoa yote Tanzania mfute kauli hizi Na mtupe ushahindi wa km squares za mji huo kwa upana Na urefu ukilinganisha Na Mimi mingine Pili suala la makonda kutumia akili au vyeti vya mtu mwingine siyo shida nikipaji pia suala...
  11. S

    Zitto: Thamani ya Tshs dhidi ya Dola inazidi kuserereka. Leo $1=Tshs 2235 Nini Kinaendelea?

    Ukiona hivyo ujue wananchi wamewachoka mbona bank ABC bank NMB bank CRDB na nyingi hapa Arusha zimejaa wateja misululu hadi nje VP huko kwenu
  12. S

    Zitto: Thamani ya Tshs dhidi ya Dola inazidi kuserereka. Leo $1=Tshs 2235 Nini Kinaendelea?

    Waache wapige kelele wasifanye kazi wafanye kazi ya kujadili ujinga na wanataka wapate pesa labda zipae kutoka mbinguni
  13. S

    Magari ya washawasha ya CCM hayawezi kutumika kwa kilimo cha "Umwagiliaji"?

    Mwenda wazimu si lazima aokote makopo au awe uchi hata wewe mwenye namba za kishirikina pia
  14. S

    Magari ya washawasha ya CCM hayawezi kutumika kwa kilimo cha "Umwagiliaji"?

    Hizi mada za kijinga si zakujadili
Back
Top Bottom