Ila Mimi naona wanaochangia mada humu ndani %100 ni wanafiki Na wazandiki kama kweli haya tunayoyajadili ni yakutoka moyoni hebu tuwe wa wazi Na tuanze kuandika majina yetu ya kuzaliwa kwenye kurasa zetu ya Jamii Forum Na kuweka picha zetu sababu tunaandika majina ya marehemu ambao hawapo wengine hata Tanzania hii tunaqeka picha za watu wapo Nigeria au Botswana tuanze Na sisi tusilaumu mawaziri wala mama zao mawaziri tuacheni unafiki