Kwanza kabisa kwa maelezo uliyoyatolea sijaona haja ya kuhusanisha kulaumu mfumo wa elimu bali ni ujinga wa mtu binafsi kuuliza kama mnyama anataga.
Pili wewe kwakuwa unajua kuwa sungura hatagi hakukupi nafasi ya kupata darasa la kufundisha kuhusu ufugaji wa sungura isitoshe umewapata siku...
Umenikumbusha nishawahi kusimama kutoka Tabora mpaka mpanda. Treni ilitoka Tabora saa sita usiku, tulikuwa tumebanana vibaya ukisimama huwezi hata kusogeza mguu, nilisinzia nimesimama sababu siwezi anguka, hakuna nafasi ya kuanguka. Wakati wa kupanda vibaka wanasimama mlangoni, wanabana nafasi...
Mtu kakushika tackle umetulia tu kisa Lecturer! Hakuna mwanaume wa hivyo aisee. Nikajua labda jamaa anasoma masters, kama degree Lecturer mmoja anawezaje ku holds maisha yako ya chuo? mi nishawahi kuona mdada kakaza kwa Lecturer pamoja na vitisho vyake vyote,kumpa sup lakini hakutoa mzigo na...
Bro,upo Masters unamuogopa Lecturer mpaka kufikia hatua ya kukushika tako? Hapana,kuna kitu hakipo sawa. Labda anajua wewe ni wa hivyo unambania yeye tu. Kwanza kwanini ulikuwa unatetemeka kama ulikuwa unajua kinachoenda kutokea.
Employment officer wa college.
Habarini wanajukwaa.
Najua tatizo la ajira kwa vijana wanaotoka vyuoni ni janga kwa taifa hili. Hii inatokana na sababu kwamba wahitimu wengine wanamaliza chuoni pengine hata bila kujua ni sehemu gani wanaweza omba nafasi za kazi ambazo marachache chache zinaweza...
Kadanganya kwenye field ambayo anaonekana haijui hata kidogo,ndiyo maana story imekuwa na mgongano.Angefanya utafiti kabla ya kupost story ili mambo yaendane
UTANGULIZI:
Kulingana na takwimu za hivi karibuni(Sekta ya Mifugo)Idadi ya mifugo hapa nchini imeongezeka ambapo idadi ya ng’ombe imeongezeka kutoka milioni 33.9 hadi milioni 35.3; mbuzi kutoka milioni 24.5 hadi milioni 25.6; kondoo kutoka milioni 8.5 hadi milioni 8.8. Kuku wameongezeka kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.