Recent content by Saimony

  1. S

    Kwanini Taasisi za Serikali ambazo ni Autonomous hazitoi nafasi za kazi..?

    Huko watu wanaitana watu wana watu wao. Hivyo usitegemee kuona ilo
  2. S

    Wataalam wa hacking msaada

    Jibu fupi tu NI HAKUNA
  3. S

    Wataalamu wa Speakers & Mic(Sound system) naomba ushauri wenu tafadhali

    Sadaka haijawahi kuwa chungu na ukipatia njia ya kuila asee umetoboa maisha
  4. S

    KERO Hivi Tanzania hatuna Telecom Companies zinazotoa huduma za internet zinazoendana na kasi wanayotaka Wateja?

    Mkuu unataka kusema voda hawana limit?? Au hizo fiber unazosemea?
  5. S

    kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    Zipo robot za likes, views na comment piaa. Na comment ziko mchakanyiko hasa hasa imoji. Kwenye gharama unalipia kwa comment na prices zinatofautiana
  6. S

    Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Kwa akili zangu hizi sijawahi kuamini hizo stori. Ni sawa na stori za abunuasi
  7. S

    Wataalam walioko kwenye Ajira za serikali ni mambumbu ukilinganisha na hawa wanaojiajiri huku kitaa.

    Stori iwe fupi watendaji na wafanyakazi wa serikali wengi wao ni watupu sana vichwani, huduma mbovu, wengine wanajua kuwasha laptop/desktop na ku scroll social media. Hata ikitokea shida hamna anayejihangaisha mpaka waambiwe. Wananiudhi sana, wanaona wamepatia maisha sana.
  8. S

    Tumia Hizi Siri 7 Kukagua Simu Ili Usitapeliwe na Kuuziwa Feki / Grade Namba 2

    Hapa Ninatumia Redmi Note 14 Pro 5G naiuza tufanye biashara.
  9. S

    Matumizi ya AI katika mifumo ya ulinzi yanaweza kuongeza kwa kiwango kikubwa uwezo wa kugundua vitisho

    Kila ni tishio. Kujaza wazee wizarani na kwenye idara, badala wakacheze na wajukuu. Shida ungine rushwa (10%) za watu fulani fulani. Shida ingine vipaumbele hatuna viongozi wenye vipaumbele ni kama wanaenda na upepo
  10. S

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Kwahiyo imekuuma sana. Asee wengine ndio tumefurahi. Sio kila kibaya kwako ni kibaya kwa mwingine, kuna wengine ndio raha kwao. Sio kila mtu atampenda au atamfurahia. Usijisahaulishe ilo
  11. S

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Yule jamaa ni mjinga sana anaropoka ropoka ovyo hajitafakari au anajua gani ni kama kalio kila mtu analo au anaweza kulimudu. Awe na adabu akiongea. Namdharau sana mtu mwenye elimu ya darasani ila akili ya maisha tu box tupu
Back
Top Bottom