Recent content by Saimony

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hakuna aliye salama, mnajidanganya na kujikomba/ uchawa. Kuna siku utafikiwa

    Ndio nenda ka google
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hakuna aliye salama, mnajidanganya na kujikomba/ uchawa. Kuna siku utafikiwa

    Wote watafikiwa. Ni juzi tu sababu ya waandamani kuuwawa nchini madagaska, raisi wa seneti madagaska ameenda jela na anatakiwa kufanya kazi ngumu miaka 10. Kwahiyo tuendelee kusubiria tu ni swala la muda
  3. S

    JamiiForums Tanzania Nikiona mtu kama Bashite ni Waziri halafu Lissu yuko jela, ni mfano mwingine kwa Waafrika hawajitambui

    Viongozi wa nchi za africa wanataka watu wanaofuata wanayotaa ukishaanza kuonyesha una akili kubwa tu unapigwa chini na kuanza kufanyiwa visa kadhaaa wa kadhaa ikizidi sasa wana kuua ili usiwazibie riziki au njia zao. Wanataka kila mtu aseme ndio mkuu, ukianza kujaji tu kwanini hivi kwanini vile...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ofisi za serikali zinaweka namba ambazo hazipatikani, Nilishasema tangu zamani Miafrika inashida fulani sio bure

    Kuna nssf hao nao pia hawapokei simu. Watendaji wa serikali wengi wao hamna wa kuwawajibisha, hamna wa kuwauliza, na hamna kitu watawafanya. Hivyo hawajali kama kuna hizo simu, wala hawahitaji kuwa na customer service. Na kama ikitokea wakaletewa shida kwa utovu wa nidhamu adhabu ni kumhamisha...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemshauri Samia kufanya safari za ndege DSM kwenda Urusi? Huyo mtu kama yupo, afukuzwe Kazi!

    Wanajua nchi hizo zina vita ukanda huo na bado wanaanzisha route ni kama washauri hawafikirii kabisa. Au walikuwa wanamfurahisha putin waone ushirikiano umeivaa. watoa maamuzi wasifanye vitu kwa hisia. mwisho wa siku wao ndio waanzilishi alafu wao wao ndio wanahangaika ku cancel route. mashariki...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Butiku: CHADEMA wanafadhiliwa wala sio siri

    Huyu mzee ni wa ovyo sanaa siku hizi, simpi nafasi kwenye algorithm yangu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Wakuu nchi inauzwa tuitisheni maandamano haraka iwezekanavyo

    Hamna hata picha ututumie tusome na sisi, maana dah inaumiza sanaa
  8. S

    JamiiForums Tanzania Hii rise ya machawa humu imekuwa maradufu, sidhani kama ishawahi tokea alafu wanapeana zamu kuanzia saa 6am hadi midnight za kuwachangia ili msipumue

    Machawa wote nimewa ignore hivyo sionagi tena post, comment zao. sitaki ujinga kabisa
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo John Heche ameitisha Press ili kumjibu Mzee Butiku, CHADEMA ina wahuni wengi sana

    Ushahidi uko wapi maana sioni ushahidi. Labda ungeweka miamala waliopokea hapa tupate kukuamini tofauti na hapo unatupigia kelele
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mbinu Mpya za Udukuzi wa WhatsApp na Jinsi ya Kujilinda (Mwongozo wa 2026)

    Asante. Tahadhari ni muhimu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Japan Yajaribu 6G kwa Kasi ya 112Gbps!

    Tuna uongozi ambao hauelewi unafanya nini
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu ngoja tuone.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Kweli kabisa na ni vile hakuna wa kuwafanyia assessment za kazi zao na kuwajibishwa on spot kama ilivyo kwa taasisi binafsi hivyo wanafanya watakavyo na wanaamua watakalopanga maana wanajua hamna wa kuwachukulia hatua. wengi wao kumhamisha kituo ndio amechukuliwa hatua kitu ambacho ni ujinga...
Back
Top Bottom