Stori iwe fupi watendaji na wafanyakazi wa serikali wengi wao ni watupu sana vichwani, huduma mbovu, wengine wanajua kuwasha laptop/desktop na ku scroll social media. Hata ikitokea shida hamna anayejihangaisha mpaka waambiwe.
Wananiudhi sana, wanaona wamepatia maisha sana.
Kila ni tishio. Kujaza wazee wizarani na kwenye idara, badala wakacheze na wajukuu. Shida ungine rushwa (10%) za watu fulani fulani. Shida ingine vipaumbele hatuna viongozi wenye vipaumbele ni kama wanaenda na upepo
Kwahiyo imekuuma sana. Asee wengine ndio tumefurahi. Sio kila kibaya kwako ni kibaya kwa mwingine, kuna wengine ndio raha kwao. Sio kila mtu atampenda au atamfurahia. Usijisahaulishe ilo
Yule jamaa ni mjinga sana anaropoka ropoka ovyo hajitafakari au anajua gani ni kama kalio kila mtu analo au anaweza kulimudu. Awe na adabu akiongea. Namdharau sana mtu mwenye elimu ya darasani ila akili ya maisha tu box tupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.