Hapo bro umesema, RC ni mtu safi na mchapa kazi , mi kila napo kuja singida nakuta mabadiliko , sasa huyu dewj sioni anachofanya , nimewah kununua maji lita 18 kwa 500tsh , sept.12. sasa huyui mbuge kweli? utajiri aliyo nao ameshindwa kumaliza kero ya maji leo miaka.
nyumba hana ipo ya urith...