Sheria iliyokuwepo zamani bora irudishwe, maana sasa watu wamegeuka kuwa kama wanyama ile sheria ya kunyongwa irudishwe mtu akiua mwenzake na yeye auawe kiukwel hii sio haki , hao waliofanya hicho kitendo je angekuwa ni ndugu yao wangefanya? simtetei huyo aliyeshikwa uchawi ila watu wafate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.