Mtoa mada tunashukuru, lkn wewe uliisaidia Nini serikari ya awamu yatano ili isitende Yale unayoyaita kasolo ambavyo TEC haikuwajibika kwayo? Na pia umeishauli Nini hii yasasa kwa dosari zinazolalamikiwa,ambapo TEC kama taasisi imetoa mchangowale na si msimamo wakugawa wananchi kama inavotaka...
Mchona anaakili sana, analina nakujenga masokoyake Afrika, kwakufanya hivi anazidi kuuza bidhaa(kujenga soko lauhakika la ndani nchimwake) na kujiwekea ngome yakibiashara Afrika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.