Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,222
Lissu siku ya jana alikuwa na safari ya kwenda Singida kwa ajili ya kufanya mkutano wa hadhara. Alitokea Dar Ila Cha kushangaza Morogoro yakatokea maigizo ya kusema amesimamishwa barabarani. Lakini mbele huko Dodoma na kuendelea wa kumsimamisha hakuwepo.
Wengi walisubiri kuona akifika Singida itakuwaje, lakini wananchi hawakujitokea Kumpokea Kama ilivyokuwa imepangwa. Sababu za wananchi kutojitokeza sijui, labda kakataliwa? Sijui
Muda si mrefu nitakuwa nimefika Ikungi-Singida, na nitaleta kitachojiri japokuwa CCM pia wana mkutano mkubwa wa kuadhimisha miaka 46 hapahapa Singida Magharibi. Tutaona nani ni nani
Hadi sasa hamasa ipo chini sana kwa wananchi juu ya Mkutano wa Lissu. Wengi wana hamasa na mkutano wa ccm chini ya mwenyekiti wa mkoa Mama Martha Mlata na nguo za kijani ni nyingi mno mamia kwa maelfu wanaelekea singida magharibi.
Muda utasema......
Wengi walisubiri kuona akifika Singida itakuwaje, lakini wananchi hawakujitokea Kumpokea Kama ilivyokuwa imepangwa. Sababu za wananchi kutojitokeza sijui, labda kakataliwa? Sijui
Muda si mrefu nitakuwa nimefika Ikungi-Singida, na nitaleta kitachojiri japokuwa CCM pia wana mkutano mkubwa wa kuadhimisha miaka 46 hapahapa Singida Magharibi. Tutaona nani ni nani
Hadi sasa hamasa ipo chini sana kwa wananchi juu ya Mkutano wa Lissu. Wengi wana hamasa na mkutano wa ccm chini ya mwenyekiti wa mkoa Mama Martha Mlata na nguo za kijani ni nyingi mno mamia kwa maelfu wanaelekea singida magharibi.
Muda utasema......