Recent content by sagaciR

  1. sagaciR

    Je, ni sahihi walimu kupewa likizo zisizo na malipo?

    Mkataba ukiingiwa na hitilafu ambayo upande wowote wa mkataba huo si chanzo (yaan FORCE MAJURE) hakuna upande wa kulaumiwa. Mwajiri hana kosa. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. sagaciR

    India wanawake hutoa mahari. Hiki kitu kwanini tusiige apa nyumbani??

    Umenikumbusha somo la JURISPRUDENCE (LL.B course) kuna kitu kinaitwa NATURAL LAW THEORY ambayo inasema mojawapo ya tawi la Natural law ni DIVINE LAW (laws from religious scripts) ni sehemu ya sheria za binadamu. Natural law philosophers wanaamini kuwa hatuna haja ya kuwa na Bunge bali uwezo...
  3. sagaciR

    TANESCO Kuweka nguzo kwenye Kiwanja cha nyumba imekaaje kisheria?

    Uploading fails due to slow network, nipo kijijini kwa mapumziko ya kufufuka kwa Emmanuel mwana wa Mungu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. sagaciR

    TANESCO Kuweka nguzo kwenye Kiwanja cha nyumba imekaaje kisheria?

    Kwa mijibu wa mabadiliko ya sheria ya mwenendo wa madai sura 33 (CAP 33 R.E 2019) kifungu cha 64A imeanzisha kitu kinaitwa utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi (“Conciliation, negotiation and mediation") Ndiyo, nenda kwa Wakili 1 kwa 1, wakili ndiyo atawaandikia NOTISI YA KUWATAKA...
  5. sagaciR

    TANESCO Kuweka nguzo kwenye Kiwanja cha nyumba imekaaje kisheria?

    Kimbry the donee, Ndiyo ipo Sheria ya umeme Namba 10 ya mwaka 2008. Hasa kifungu cha 34-36 ikisomwa pamoja na Sheria za Ardhi (4 au 5 zote za mwaka 1999 kutegemea na upo Ardhi ya namna gani), sheria ya utwaaji wa Ardhi sura 118, kanuni za mipango miji za mwaka 2018 (G.N 93/2018) hiyo 1.5 M space...
  6. sagaciR

    Mpangaji mtata kulipa kodi na kuhama

    Hii ni njia ya mazoea (tunaishi kwa mazoea) njia za mazoea ni za bahati na sibu (yaan jambo likiisha salama basi umefaulu). Lakini WEO kufanya hivyo ni kukiuka wajibu wake ambao umewekwa katika marekebisho ya sheria Na. 13/2006 ambayo nilirekebisha Majukumu ya WEO kwny sheria mama ya Serikali...
  7. sagaciR

    Mpangaji mtata kulipa kodi na kuhama

    Pole kwa mkasa huo mkuu:- USHAURI: 1. Njia ulokuwa unatumia wewe ni njia ya amani/diplomasia, ambayo tyr imeshindwa kuleta matunda. 2. Kwa mujibu wa kifungu cha 103 (1) cha sheria ya Ardhi Na. 4/1999 utaratibu unaotakiwa kuufanya ni wa kimahakama, yaani kwa kufungua shauri la madai Mahakamani...
  8. sagaciR

    Ifahamu sheria ya dhamana ya mkopo

    Be informed legal that, the contents of the thread hereof are professional rubbish, as are waging war against the legal framework not only in our jurisdiction but also at the world large. Avoid them as if are COVID-19. Loan = Liability + security (security can be either movable or immovable)...
  9. sagaciR

    Mkapa awapa neno wanaotaka Magufuli aongoze mihula mitatu

    "Ignorantia non obliviscar" a latin phrase which means forgetting or slip of a pen does not mean ignorance. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. sagaciR

    Bonifance Mwamposa, (Buldoza) atunukiwa Shahada ya Uzamili ya heshima na Chuo cha Lead impact University kilichopo Colorada nchini Marekani

    Kwa kipindi cha kizazi hiki, watu wanaenda kwny nyumba za ibaada si kujifunza neno la Mungu na kulifuata bali kutafta MIUJIZA hiki ndicho chanzo cha kukengeuka (misdirecting). Sent using Jamii Forums mobile app
  11. sagaciR

    Kanuni mpya za usajili wa laini za simu: Masuala muhimu ya kujua

    Matojo Cosatta, Am increasingly congratulating for your industry arguments you have put forward. However with great respect am dissenting from you proposition that this piece of subsidiary legislation is a SUBSTANTIVE as opposed to PROCEDURAL law for a simple reason that:- The Said law solely...
  12. sagaciR

    Kurudishwa kazini kwa Mwl. Ezekiel Oluoch: Katibu Mkuu Utumishi (Dr Laurean Ndumbaro) awajibishwe

    Hakuna gharama za kesi ambazo serikali italipa kutokana na uamuzi huo kwa sababu:- 1. Gharama za kesi hutolewa pale ambapo hukumu na amri (Judgment & decree) ya mahakama imetamka hivyo. Lakini katika shauri hilo Mahakama haikumpa Mwl gharama hizo. (There is no basis for filing bills of costs as...
  13. sagaciR

    RC Mnyeti asema sheria inayoruhusu Mwalimu Mkuu kuchapa viboko ni "NONSENSE", awataka walimu kuipuuza

    Substantively he may be right but, he is at highly procedural utravire. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. sagaciR

    Mabadiliko ya Profesa Kabudi kwenye sheria ya madini yanalitesa Taifa. Nini kifanyike?

    Kwanza anadanganya kwa kuwa anajua wazi wadau wengi huwa hawasomi bali ni "blue state na red state ideology". MOSI, eti mrahaba ni 7% kitu ambacho HAKIPO kwenye sheria (refer Section 86 (c) Act No 14/2010 [Cap 123 R.E 2018]. PILI, eti nchi nyingi Corporate tax ni 20-30% ambapo na sisi TZ tupo...
  15. sagaciR

    Mkisikia; Mkazi mmoja mkoani Mwanza amjeruhi vibaya mpenzi wake kwa kisu kisa wivu wa mapenzi mjue ni mimi!

    Mpe huu ujumbe na J.J NYALAJA kama utaonana nae hapo Igoma centre. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom