Ifahamu sheria ya dhamana ya mkopo

CONSTRUCTIVE THOUGHT

JF-Expert Member
Jul 10, 2015
1,158
417
Kwa wale wanaokopa mikopo katika taasisi zinazotoa mikopo kwa masharti nafuu mfano FINCA na PRIDE wapaswa kuelewa kuwa hakuna sheria ya dhamana ya mkopo ya vitu vya ndani.

Katika kulitambua hili, taasisi hizi huitaji mkopaja awe katika kikundi kisichopungua watu watano. Hii inamaanisha kuwa ikiwa mkopaji mmoja au wawili watashindwa kurejesha mkopo, wenzake waliobaki watanapaswa kurejesha mkopo wote husika.

Sasa pamekuwa na upotoshaji kwa Taasisi hizi kwa kuwataka wakopaji kuweka dhamana ya vitu vya ndani (Samani za ndani) ili wapate sifa ya kukopeka. Na ikitokea mkopaji kashindwa kurejesha mkopo husika, hufirisiwa / hubebewa vitu vyake vyote vya ndani kama fidia ya kumalizia deni la mkopo.

Kimsingi huo ni uvunjaji wa sheria kwani hakuna dhamana ya mkopo ya vyombo vya ndani kisheria. Hivyo mtu alionyanganywa vyombo, anapaswa kuwafungulia kesi ya wizi wale wote waliohusika katika unyangaji huo.

"Kutokujua sheria sio sababu ya kusamehewa sheria"
 
Umenena vizuri mkuu, ila uko too general, ingekuwa vizuri ungesema sheria gani ya mwaka gani, na kama ukiweza kui quote kabisa ili mtu anaposhitaki awe na uelewa mpana zaidi juu ya hilo.
 
Hii sheria inatumika mpaka sasa au ni ya zamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Be informed legal that, the contents of the thread hereof are professional rubbish, as are waging war against the legal framework not only in our jurisdiction but also at the world large. Avoid them as if are COVID-19.

Loan = Liability + security (security can be either movable or immovable) movable security is more vulnerable to the creditor than immovable. A creditor may opt to secure his capital by either of the two security foregoing). See also PAWN, PLEDGE etc.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wanaokopa mikopo katika taasisi zinazotoa mikopo kwa masharti nafuu mfano FINCA na PRIDE wapaswa kuelewa kuwa hakuna sheria ya dhamana ya mkopo ya vitu vya ndani.

Katika kulitambua hili, taasisi hizi huitaji mkopaja awe katika kikundi kisichopungua watu watano. Hii inamaanisha kuwa ikiwa mkopaji mmoja au wawili watashindwa kurejesha mkopo, wenzake waliobaki watanapaswa kurejesha mkopo wote husika.

Sasa pamekuwa na upotoshaji kwa Taasisi hizi kwa kuwataka wakopaji kuweka dhamana ya vitu vya ndani (Samani za ndani) ili wapate sifa ya kukopeka. Na ikitokea mkopaji kashindwa kurejesha mkopo husika, hufirisiwa / hubebewa vitu vyake vyote vya ndani kama fidia ya kumalizia deni la mkopo.

Kimsingi huo ni uvunjaji wa sheria kwani hakuna dhamana ya mkopo ya vyombo vya ndani kisheria. Hivyo mtu alionyanganywa vyombo, anapaswa kuwafungulia kesi ya wizi wale wote waliohusika katika unyangaji huo.

"Kutokujua sheria sio sababu ya kusamehewa sheria"
With all due respect sioni kama upo sawa, tuna Sheria inaitwa the Chattel Mortgages Act, hii ndio hutumika pale mtu anapoweka dhamana vitu vya ndani kwa ajili ya kukopea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wanaokopa mikopo katika taasisi zinazotoa mikopo kwa masharti nafuu mfano FINCA na PRIDE wapaswa kuelewa kuwa hakuna sheria ya dhamana ya mkopo ya vitu vya ndani.

Katika kulitambua hili, taasisi hizi huitaji mkopaja awe katika kikundi kisichopungua watu watano. Hii inamaanisha kuwa ikiwa mkopaji mmoja au wawili watashindwa kurejesha mkopo, wenzake waliobaki watanapaswa kurejesha mkopo wote husika.

Sasa pamekuwa na upotoshaji kwa Taasisi hizi kwa kuwataka wakopaji kuweka dhamana ya vitu vya ndani (Samani za ndani) ili wapate sifa ya kukopeka. Na ikitokea mkopaji kashindwa kurejesha mkopo husika, hufirisiwa / hubebewa vitu vyake vyote vya ndani kama fidia ya kumalizia deni la mkopo.

Kimsingi huo ni uvunjaji wa sheria kwani hakuna dhamana ya mkopo ya vyombo vya ndani kisheria. Hivyo mtu alionyanganywa vyombo, anapaswa kuwafungulia kesi ya wizi wale wote waliohusika katika unyangaji huo.

"Kutokujua sheria sio sababu ya kusamehewa sheria"
Hii sheria bado inafanya kazi?
 
Back
Top Bottom