Recent content by safishanyota

  1. safishanyota

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

    Ahahaha naona kile kipara Leo kitakwanguliwa chini mithili ya nguruwe pori akifakamia mihogo shambani.. Nawaza Tu lakini
  2. safishanyota

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania RAILA ODINGA: Tarehe 12, Disemba nitapishwa na kuingia Ikulu

    Baba yake aliulilia urais hata sekunde moja hadi kufa kwake Si jomo Kenyatta hata moi arap hakumpa sasa nadhani yeye anataka kuondoka Na roho za wakenya
  3. safishanyota

    JamiiForums Tanzania Serikali kupitia TCRA yaipiga Clouds FM faini Sh. Milioni 12 kwa ukiukwaji wa Maadili ya Habari

    E Eti grace Si ndio yule aliyemnyima Mugabe utawala wa kisultani
  4. safishanyota

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu 3 wafariki kwa kupigwa risasi kwenye maandamano ya kupinga uamuzi wa mahakama kuhalalisha ushindi wa Kenyatta

    Huyo ajuza nae aliyafuata nini hayo maandamano Raila Odinga Hana malengo mazuri Na wakenya yeye angejituliza Tu nyumbani alee wajukuu..
  5. safishanyota

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raila Odinga asema hakubaliani na ushindi wa Uhuru Kenyataa japo mahakama imesema ni halali

    Raila pumzika wewe umeona wapi govi likastarehe faraghani
  6. safishanyota

    JamiiForums Tanzania HISPANIA: Mwanasheria Mkuu afariki ghafla, aliupinga vikali mchakato wa kujitenga Jimbo la Catalan

    Hao hispania Ni jamii ya kilatino mambo hayo kwao yapo sana
  7. safishanyota

    JamiiForums Tanzania HISPANIA: Mwanasheria Mkuu afariki ghafla, aliupinga vikali mchakato wa kujitenga Jimbo la Catalan

    Kwa hips zako hata Mimi nitakuwa mgonjwa
  8. safishanyota

    JamiiForums Tanzania HISPANIA: Mwanasheria Mkuu afariki ghafla, aliupinga vikali mchakato wa kujitenga Jimbo la Catalan

    Wakatalunya hawana mchezo hicho Ni kipapai dhahiri
  9. safishanyota

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea Zimbabwe: Nchi yawekwa chini ya Jeshi, Mugabe kung'olewa?!

    Wangemuacha amalize muhula wake ili astaafu kwa heshima Na akabidhi madaraka kwa atakayemtangulia iachwe demokrasia ishike mkondo wake and shinikizo la kumtaka ajiuzulu linaweza leta maafa kwa wasiohusika..
  10. safishanyota

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli awatumbua Wakurugenzi walioshindwa kujibu maswali kwenye Mkutano Mjini Bukoba

    Ama kweli shuzi limepata mjambaji na nimeamini linalojamba tumbo matako ni kipaza sauti sasa kwa akili ya haraka haraka sizonje alikuwa anategemea bi.mwamtumu dau ana upevu wa namna gani mpaka ampe takwimu alizokuwa anazihitaji za feza za rodi fandi..kweli tuna Rais wa ajabu haijapata...
  11. safishanyota

    JamiiForums Tanzania ZAMBIA: Rais Edgar Lungu amewaonya majaji nchini humo kutotoa uamuzi wowote wa kumzuia asiwanie urais

    Ukishashiba kunde kinachofata lazima ujambe
  12. safishanyota

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mtendaji na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya fedha wa Acacia wajiuzulu

    Utepetevu wa rasilimali ngoja tuone mazungumzo ya episode ya pili yatakavyoanza upya huu mchezo hauhitaji hasira
  13. safishanyota

    JamiiForums Tanzania Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

    Taratibu sinagogi linamdondokea chakubanga Na hekaya zake za kutangulia Si kufika..
  14. safishanyota

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I’m not a flower girl in Uhuru’s wedding, can’t rejoin race - Raila

    Miaka ile ilikuwa mungiki sasa safari hii itakuwa muziki nyie andamaneni mkapambane na sub machine gun za wakikiyu Na wakalenjin..Kenya ya machafuko naiona Ile..
  15. safishanyota

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Lugumi kupigwa mnada tena Novemba 9 mwaka huu baada ya kukosa mteja

    Waz Wazo zuri sababu kwa yeyote atayejitokeza kununua mojawapo ya hizo nyumba asubiri kufuatiliwa yeye mara baada ya ununuzi wabongo sio mambwisi kwani chakubanga atabiriki na bashite wake...na sio kwamba watu pesa hawana nani anapenda kufilisiwa
Back
Top Bottom