Pole sana..uki reseat hata masomo yote EGM unaweza kufaulu tu vizuri..au unaweza tumia cheti chako cha o-level kama ulifaulu vizuri masomo ya sayansi uanzie diploma..
utajuaje kama anakuchukia kama uko busy tu kufanya mambo yako na pengine huoni sababu ya kumtafuta..! ukiwa busy tu na mambo yako ya msingi wala huwezi kupata mda wakufikiria ex wako anakuchkuliaje
soma diploma ya huohuo ualimu..unataka maslahi yapi mkuu..! Maisha ndo hayahaya..ukiona mtu kafanikiwa na ameajiriwa,sio kirahisi bali amepambana sana nje na hio ajira..! Nakutakia kila la kheri
Yusufu baada ya kugundua kua mchumba wake Mariam ni mjamzito akakata shauri amwache kabisa..lakini baadae alibadili maamuzi baada ya kujua haukua ujauzito wa kawaida..! Sasa mkuu huyo mchumba wako alijazwa ujauzito hilo hukugundua kabisa..then mpaka akajifungua hukugundua..mpaka umekuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.