Awe ameandika Askofu au Shemasi Au Mzee wa Kanisa Au Katekisita ujumbe umefikia walengwa tena ni misumari mizito ya INCHI 6. Na imelenga kwenye paji la uso
Jitathmini tu UWEZO wako mambo mengine ni for privileged few. Wewe kama UWEZO wako sio wa kupata hiyo utatumia nguvu nyingi sana na muda mwingi sana still usipate.
Nilikutana na huu uzi three weeks ago nikawa interested kujua mkasa huu wa wahutu na wa Tutsi lakini sehemu ya 13 tulisubiri majuma mengi na hii ya 14 sijui kama inakuja au laa
Inategemea na ufaulu wa mwaka husika hizo shule zinachukua wanafunzi average 120 kila moja na zipo tano. Jitathmini nafasi yako katika jamii ya matokeo ya mwaka huu. Siku gizi si ajabu hata ukapata 12 yet ukakosa maana shule zimekuwa nyingi na wapo wengi wanao faulu vizuri zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.