Recent content by sadi msita

  1. sadi msita

    Benson Kigaila: G 55 ilikuwa ndio Brain ya Chadema tumeondoka wote tumeacha Magalasa matupu

    Shida siasa Zetu tunapenda Madalaka kuliko mustakabali wa kinchi hapo tumefeli! Tafuteni Pesa mkalipe kodi. 🤣🤣🤣🤣
  2. sadi msita

    Tukiwaambia no reform no Election muwe mnatuelewa

    Kama huna mambo ya kufanya lakini kama una mambo ya kufanya huwezi shughulika na ujinga kwa maslahi ya wengine na kuacha yakwako hiyo ndo akili Duh!
  3. sadi msita

    TFF na bodi ya ligi chutuma, haya maji ni marefu mtazama

    Nilipoanza kusoma nilijua kitu cha maana kupe ujinga mtupu!
  4. sadi msita

    Yanga SC hawaitaki TFF na wapo tayari hata kushushwa ligi daraja la 3

    Wasicheze zote sasa zote si zipo chini ya bodi ya ligi
  5. sadi msita

    Yanga SC hawaitaki TFF na wapo tayari hata kushushwa ligi daraja la 3

    Yanga haja asisi mpira wa Tanzania kuwa mjanja wewe
  6. sadi msita

    Udhamini wa GSM kwenye ligi kuu sasa kuchunguzwa na FIFA

    Nasoma Komenti zenu 😂😂!
  7. sadi msita

    Yanga yatoa msimamo: Yaitupilia mbali CAS, Yagoma kurejea kamati za ndani, Yasema haitacheza mechi ya derby

    TFF /Bodi ya Ligi Walaumiwe toka maamuzi ya CAS mpaka leo hawajatangaza Tarehe ya mechi wana subiri nini waje kusema hawachezi wakati mechi imetangazwa ndo niatona wanaume wamekaza ila kwa sasa ni Ukanjanja tu.
  8. sadi msita

    Ni muhimu sana kuitambua na kuiogopa Dola, Serikali sio Dola. Dola ni dubwana la kuogopa

    Ccm imeshindwaje kuongongza na yeye anazungumzia Dola kwanza unapoleta vurugu huo unabaki kuwa Msimamo wako na sio wa Taifa ndomama utashughulikiwa na Dola kazi ya CCM ni kuisimamia Serikali kuleta maendeleo katika nchi na nijambo linaloweza fanywa na chama chochote kwa ridhaa ya wananchi walio...
  9. sadi msita

    GE2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

    Maana ni kwamba tuna wabunge wengi waliopita bila kupingwa baadhi ya majimbo ya UCHAGUZI wagombea w CCM Wananguvu kubwa kuliko upinzani hivyo tutakuwa na idadi kubwa ya wabunge kuliko upinzani yote kwa yote Magufuli ananguvu ya USHAWISHI kuliko wagombea wa upinzani. Tutaunda Serikari tu!
  10. sadi msita

    GE2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

    Amepata asiwe na hofu
  11. sadi msita

    Mvua ya ajabu Gairo

    MVUA YA MAAJABU YANYESHA GAIRO Habari za kushangaza mvua ya ajabu imenyesha Gairo na maeneo jirani kama Kibaigwa, Mlali na maeneo mengine. Mvua hiyo iliyonyesha siku mbili mfululizo imekuwa ikitoa maji meusi kama yameoshewa mkaa haijawahi kutokea maeneo haya na inasemekana imenysesha maeneo...
  12. sadi msita

    GE2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

    Sina Shida na Magufuli nina shida na watendaji wake Alikuja Makame Mbalawa Gairo akatudanganya tarehe 15/11/2019 mradi wa maji ya visima virefu vilivyo tumia Mabilioni ya pesa na Mabilioni ya nyongeza utakuwa umekamilika mpaka leo Tupo 2020 imekuwa Historia na hili analijua hataki hata...
  13. sadi msita

    Je, wewe ni muhenga?

    Kama wewe ulikuwepo wakati wa Gari hii wewe ni muhenga
  14. sadi msita

    2019 Africa Cup of Nations Special Thread

    Burundi Kafungwa 1-0 na MADAGASCAR
Back
Top Bottom