Jamani wanaJF.
Naombeni ushauri mimi mwaka wa kwanza, naombeni mnishauri kwa mchepuo wa HGL. Nisome vipindi gani chuo maana wanasema geography na language ni ngumu.
Mm sijui iko vp maana kaka angu ameenda tcu wakamwambia jina langu limekuw admitted udom only na tayar mkop nimept batch ya pili...japo nimeangalia jina kwenye pdf,,,kwenye account mtandao unazingua
Nilichaguliwa udom first selection nikiwa kwenye group la multiple selection. Sa nkapigiw na admision oficer wa udom akasem kama nataka kwenda udom nimwambie aconfirm, nkamwambia aconfirm na mm nkaingia kwenye account yangu nikaconfirm lakn jana naangalia majina ya waliofanikiwa kuconfirm udom...
Hv udom wanapokupigia sim au kukutumia sms na kukutaka uconfirm hapo ndo umeconfirm umemaliza au kuna kurud kwenye account yako? Nisaidie kwa ilo amby ameconfirm udom
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.