Kwan Tundu Lissu kutumia neno ujinga lina kosa gan...kama anaongelea ujinga atazungumzia ujinga...we unafkr Rais anafaham kila kitu ...Tatzo watanzania huwa tunashindwa kuukubal ukwel,kwa ajil ya masilah ya taifa na hiyo ndo gharama yake tunakja kuilipa...Tuchague kuwa kama zimbabwe au kulipa...
Duu....mi ni mpole na mcha Mungu dadaang...ila nina hasira...na nikikasirika mi huwa nashusha kipigo....kama utanivumilia njoo....mi mwalim wa sec....pia uwe na sauti ya kuimba...
Mbona unakuw na mambo ya ajab,,umchunguze nani,Mim nakusaidia ni watu wanatumia picha zake,,hizo picha ulizopost,alizipost kitambo,,,nenda fb..tafta agnes john...utaona account yake na alishatoa taarifa account yake iliibiw,,
Mkuu huyo dada sio tapel sema kuna watu wanatumia picha zake..ni rafk yang kitambo usimchafue,kuna wanatumia account yake,huyo hana njaa ya kuiba hela ya mtu Fb kwao zipo ni hatari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.