migodi ya madini yetu wawekezaji wamechangia madawati mangapi? je mbuga za wanyama wawekezaji wa vitalu vya uwindaji wamechangia madawati mangapi? je misitu yote hii imechangia nn kwenye utengenezaji wa madawati sasa nini faida ya kutunza misitu hapa kwetu? tatizo viongozi wetu hawana ubuni
mmh mungu wangu sasa wapinzani mmekwisha maana pale tu alikuwa naibu katibu mkuu wa ccm balaa ndo lilikuwa kama madridi na barca je sasa ndo mabomu ya machozi na washawasha anaongoza yeye mmmh kwa mwigulu a.k.a fedel castrol yaan bungeni moto unawaka na akson mtaan na maji ya kuwasha kwa bwana...
eeh mwenyezi mungu mpe afya njema mgombea wetu lowasa kila pande ya nchi pia eeh mungu uwalaani viongozi wote watakao panga mbinu za kuiba kura za ndugu lowasa afe kwa pressure au shinikizo la damu
safi sana ukawa tena kila lowasa anapofanya kampeni hii ya lala salama ya toroka uje akusanye kadi za ccm na azichome moto hadharani italeta hamasa sana ili ccm wenyewe wazidi kuchanganyikiwa
karibu sana makamanda mtuongezee mbinu za kuitoa ccm hadi sasa lowasa amefikisha kura milion14 lkn lengo kuu la ukawa ni Kura za lowasa ni milion 19 sasa ccm toroka uje eparation hii tuna wakaribisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.