m 02:05 13th September 2015
Aliyekuwa mgombea wa CCM baada ya kukatwa kupitishwa Nape kinguvu, CCM ilibidi wavuruge kasi ya mgombea wa UKAWA kwa tiketi ya CUF Bw. Mchinjita kwa style ya kuhamia CHADEMA na kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa lengo la kugawa kura "" imefahamika""wana Mtama zindukeni huu ni usanii.Tutaletewa Membe mwingine tukose maendeleo.tusipoteze muda na kampeni za CCM B.
kama kweli alitaka kuleta maendeleo Mtama asingehamia CHADEMA, wangeelewana na Bw Mchinjita iliwaunganishe nguvu sio kugawa watu halafu utegemee mabadiliko yatakuja.Tena UKAWA jimbo la Mtama wamelitoa kwa CUF sasa iweje mgombea wa CHADEMA kutoka CCM (baada ya kukatwa) achukue fomu kwa tiketi ya UKAWA CHADEMA.
Eti hoja ni wa cuf haaminiki anaweza uza jimbo acheni kutuchanganya. tunataka maendeleo. wana Mtama tusidanganyike.imegundulika jamaa baada ya kukatwa alionana na Pinda na CCM kupanga hiyo mbinu ya yeye kuhamia CHADEMA na kugombea lengo ni kugawa kura za upinzani ili Nape ashinde.hii imegundulika watafute ingine.Siasa ni mchezo mchafu Mchinjita piga kazi maendeleo kwanza majungu baadae. Mwaga sera za kuleta maendeleo wanamtama tupate kiongozi makini
Nape tunamtakia kila kheri aendelee kueneza CCM yake jimboni kunatakiwa maendeleo sio kuongea na waandishi.
kwani huyo Membe amefanya nn??