PICHA: Mara Yamkabidhi Lowassa Hati ya Ushujaa Uliotukuka

PICHA: Mara Yamkabidhi Lowassa Hati ya Ushujaa Uliotukuka

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Mkoa wa Mara umemkabidhi rasmi Lowasa Hati ya Ushujaa Uliotukuka. Kwanza ni kwa kuonyesha siasa safi kitu ambacho hata waangalizi wa kimataifa wa uchaguzi wamelizingumzia hilo. Pia Mkoa wa Mara umemtambua Lowassa kama shujaa mpya wa mkoa huo. Amekabidhiwa hati hiyo mbele ya maelfu ya wananchi wa mkoa huo waliolipuka kwa shngwe za balaa
 

Attachments

  • 1444507918069.jpg
    1444507918069.jpg
    25.4 KB · Views: 2,531
Mkoa wa Mara umemkabidhi rasmi Lowasa Hati ya Ushujaa Uliotukuka. Kwanza ni kwa kuonyesha siasa safi kitu ambacho hata waangalizi wa kimataifa wa uchaguzi wamelizingumzia hilo. Pia Mkoa wa Mara umemtambua Lowassa kama shujaa mpya wa mkoa huo. Amekabidhiwa hati hiyo mbele ya maelfu ya wananchi wa mkoa huo waliolipuka kwa shngwe za balaa


Tarehe 1, Novemba, 2015, anakabidhiwa rasmi hati ya kuitumikia Tanzania mpya! Mwenyezi Mungu mmbariki Lowasa, mwenyezi Mungu ibariki Tanzania, Mwenyezi Mungu Ibariki Afrika. Amin
 
eeh mwenyezi mungu mpe afya njema mgombea wetu lowasa kila pande ya nchi pia eeh mungu uwalaani viongozi wote watakao panga mbinu za kuiba kura za ndugu lowasa afe kwa pressure au shinikizo la damu
 
sema baadhi ya wana mara sio wote

Vyovyote utakavyoona, lakini ukweli utabaki sehemu yake. Bahati nzuri jambo hili limefanyika hadharani na maelfu wame suport.

Wewe endelea tu na hicho kinyongo chako.
 
Huyo mzee anahangaika sana yani sijui anatafuta nini yani mwizi huyo! wait oct 25tumuadhibu
 
Ukimudu kuvumilia pigo la kusalitiwa na uliyemuamini kwa muda mrefu kiasi cha kuachia nafasi kama ya Uwaziri Mkuu huwezi kushindwa kumudu kuvumilia matusi ya majukwaani....
 
Mzee lowassa ana siasa safi. Ni mfano wa kuigwa kwa kweli. Mungu amempa moyo wa uvumilivu na utulivu

Tena Siasa safi kuliko hata siasa tuliyo nayo leo. Nadhani kama tungekuwa na hili jembe tokea 2005 leo hii tungekuwa hatuna matatizo ya umeme wala maji. Hili Naamini kabisa.
 
Back
Top Bottom