Ni kweli kabisa unavyosema wateja hawapendi utaratibu mrefu kwenye kununua bidhaa. Kwa mfano mm nitaitaja hasa kampuni ya Selcom hapa Zanzibar wao ni wauzaji wa mashine za efd za ZRA. nilitaka kununua chaja tu basi naambiwa nidowload app ndio niagize kutoka Dar nilipe,nisubiri siku 3 wakati mm...
Mimi ni Muislamu lakini kwa kweli nawaunga mkono maaskofu wanapokemea uovu na kutaka haki iwepo kwenye taifa letu. Pia nami nashangazwa sana na masheikh wetu wanapotetea serikali na kupinga matamko ya kupinga uovu
Si pekeako. Mm mwenyewe mwanzoni mwa hii 2024 nimetoka zanzibar mpk mombasa kenya kwa ajili ya mwanamke wa kibajun nimetumia karibu 1 million hapa bado kuna deni nadaiwa na mambo tele ya muhimu ningeweza kufanya kwa pesa hio lkn sikufanya nikaenda kuiteketeza huko. Japo huifikiria lkn nimepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.