Recent content by saangapi

  1. S

    Nahitaji mpenzi wa kike

    ndiyo kiongoz mimi ni wa kiume
  2. S

    Nahitaji mpenzi wa kike

    namuhitaji sasa hivi
  3. S

    Nahitaji mpenzi wa kike

    nichek PM Raque
  4. S

    Nahitaji mpenzi wa kike

    Bado sijampata.......
  5. S

    JKT watangaza nafasi za kujitolea

    Shukran mkuu kwa taatifa..nimeambiwa mwisho ijumaa kwa ilala..majina yatakuja kutolewa baadae na ndipo form zitatolewa..na utaratbu mwingine kuendelea..
  6. S

    JKT watangaza nafasi za kujitolea

    Mkuu nakubari sana harakati zako tupo pamoja.... naomba tujulishe wilaya ya ilala wanapokea maombi mwisho lini? na form zinatolewa kwa utaratibu upi?
  7. S

    Nahitaji mpenzi wa kike

    Mimi ni kijana 25 years nipo dsm, awe tayar kupima afya, mengine tutafahamiana zaidi. check me: saangap@gmail.com or PM. Karibu.
  8. S

    Ingekuwa wewe ungechukua maamuzi gani? ilihali bado anadai anakupenda na anakuhitaji

    Pole sana mkuu..isiwe tabu achana naye huyo akufai si bure atakuwa kapata mwingine na anatafuta namna ya kukuacha maana "akufukuzaye hakwambii toka" wanawake wapo wengi ruhusu moyo wako ukubaliane na ukweli huo utapata mwingine atakayekuthamini.
  9. S

    Mtihani mgumu..

    Asanten kwa ushaur wenu wakuu nitaufanyia kaz, nawatakia siku njema..pamoja sana.
  10. S

    Mtihani mgumu..

    Nmeamua nijitoe tu ila nahtaj hekima kumueleza aelewe na asibaki na kinyongo na mimi
  11. S

    Mtihani mgumu..

    Sawa mkuu
  12. S

    Mtihani mgumu..

    Nimekusoma mkuu..
  13. S

    Mtihani mgumu..

    Nimekusoma mkuu.. tatzo lake anaangalia upande wake tu.
  14. S

    Mtihani mgumu..

    Ndo hapo sasa yan mtu anafanya kunikomoa sa atatafuta wakuweza hayo mashart me simo .
  15. S

    Mtihani mgumu..

    Sawa kabsa kiongoz..itabd nchukue uamuz mgumu.
Back
Top Bottom