Recent content by S Bizzle

  1. S Bizzle

    Quality Group imeanza kujenga kiwanda

    Quality Group inayomilikiwa na manji au??
  2. S Bizzle

    Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

    Duh MAGUFULI lazima aangalie hili suala kwa jicho la tatu.. vinginevyo atashindwa kuongoza hii NCHI..
  3. S Bizzle

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Acha ukichaa kijana.. miundombinu iloshawekwa so baada ya tetemeko imeharibika na kumbuka hakuna bajeti ya kurekebisha miundombinu ile hivyo fedha za zilizopatikana ndo hutumika katika kuboresha miundombinu.. Na hakuna serikali imejengea watu nyumba kutokana na tetemeko.. zaidi ni miundombinu...
  4. S Bizzle

    Tabia mbaya ya watanzania kujisajili ndani ya familia za wanasiasa mashuhuri

    Nape anatumia ubin wa babake gani??
  5. S Bizzle

    Lema kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela?

    Jamaa yule, eti lema waziri kivuli.. so anadhania ana mamlaka yoyote katika jeshi la polisi..
  6. S Bizzle

    Lema kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela?

    Ulichoandika unakijua??
  7. S Bizzle

    Je, unajua maana halisi ya Electoral College inayotumika kuchagua Rais Marekani? Jifunze

    Ukapimwe akili kijana.. electoral votes ingemsaidia zaidi magufuli as ameshinda mikoa 25 ambayo kwa idadi ya wajumbe let say MPs ni wengi zaidi ya ambao angepata lowassa.. mjrity votes ndo zimembeba zaidi lowassa..
  8. S Bizzle

    Upigaji wa kura Marekani ni uonevu

    Well explained... Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
  9. S Bizzle

    Hivi ni nchi gani Rais mwenye Diploma aliongoza ma-professor?

    Unayumbaaa fanya tafiti utajionea.. hao wote wamesoma..
  10. S Bizzle

    Hii ndio janja ya heslb au?

    Huyu sijui ameelewa vipi?? Watu wengine bhana..
  11. S Bizzle

    Hivi kati ya UDSM na Mzumbe kipi chuo bora kwenye fani ya biashara

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh leta majibu sasa.. kelele za nini tena..??
  12. S Bizzle

    Hivi kati ya UDSM na Mzumbe kipi chuo bora kwenye fani ya biashara

    Fanya yote bob mbona unayumbaa.. we chagua anza kufanya mradi ufikishe 50% tu
  13. S Bizzle

    Hivi kati ya UDSM na Mzumbe kipi chuo bora kwenye fani ya biashara

    Yap sasa hapo ni point bt sio mtu aseme Mzumbe ni degree za kupewa hapa.. ndo maana nkampatia mzigo huo..
  14. S Bizzle

    Hivi kati ya UDSM na Mzumbe kipi chuo bora kwenye fani ya biashara

    Sasa kwa paper hizo afu mtu atoke IFM hukoo atie kelele hapa..?? HIYO NI BAF YA MZUMBE.. paper ya masaa 3 tu..
Back
Top Bottom