Ahsante kwa taarifa muhm.. Swali langu je hao ng'ombe ni maalum kwa maeneo yenye hali ya hewa ya joto pekee? Na kama mtu akihitaji kuwafuga mkoa wa iringa, njombe, ruvuma au mbeya wanaweza kumudu hali ya hewa ya huko na kutoa ufanisi uleule..? Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.