Recent content by S 4 R

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ajira portal & utumishi ni mabingwa wa kupoteza muda wa watu

    Poleh sana mkuu, changamoto za utafutaji.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    NakubaLiana na ww Mkuu 100% plus
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Juu ya Uhamisho kutoka Halmashaur kwenda Taasisi za Elimu za Juu

    Nlichomaanisha kwa staff wa utumishi/tamisem anaweza kuona? incase umetuma maombi pasipo tumia mfumo
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wekeza kwenye hisa

    Somo zuri
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Juu ya Uhamisho kutoka Halmashaur kwenda Taasisi za Elimu za Juu

    Atari sana, Swala la mfumo ni pasua kichwa. ila usiache kupambana
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Juu ya Uhamisho kutoka Halmashaur kwenda Taasisi za Elimu za Juu

    Powa, Ngoja tuone kama tutapata muongozo kwa wadau
  7. S

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Juu ya Uhamisho kutoka Halmashaur kwenda Taasisi za Elimu za Juu

    Habari ? Naomba kuuliza kwa wenye uzoefu na michakato ya Kuhama kupitia Uhamisho_ Mfano Mtu anaeomba kuhama kutoka halmashauri 'z' kwenda taasisi za elimu ya juu mfano Udom, Udsm,Mwalimu Nyerere,Cbe,Mzumbe,Ardhi, Isw, n.k baada ya barua yake kupitishwa na mwajiri wake kwenda taasisi husika_ Je...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Oral Interview ni English au Swahili

    Mara nyingi English_ n mara chache kwa kiswahili kutegemeana na nafasi uliyoomba
Back
Top Bottom