Yaani ukiangalia kiu ya wananchi ni kuona kuanzia mwenyekiti,Diwani,mbunge akimpigania haki yake ya kiuchumi na kijamii kwa uwazi kabsaa hata ikitokea kiongozi huyo atashindwa fanikiwa suala hilo,mwananchi anayepiganiwa ataendelea kumpenda kiongozi huyo maana juhudi na jitihada zake ameziona...
Niko 40s ila nilishangazwa na jamaa yetu,kwenye vikao vyetu vya jioni kwenye kupiga moja mbili tatu,kusema shemeji yetu atapita kutusalimia kwamba ni mshangazi flani hivi..
Sasa hapo ndio nikamwambia umri wetu sisi hatuwezi kuwa na mishangazi hao ni wazee wenzetu....
Yaani unakuta mtu anamiaka 42 alafu anamahusiano na mwanamke ana miaka 48 alafu anasema anamiliki mshangazi ....!!!!! Huyo si mzee mwenzie tu...
Mshangazi aitwe na vijana wa miaka 18 mpaka 35...
Ila kwa sisi wa miaka 40 mahusiano na wanawake waliotuzidi umri ni WAZEE WENZETU..
Braza sijui hata kama ushawahi fika mataifa haya mawili...
Marekani anaizidi china kwa uhuru wa watu wake tu kwa sasa na uwezo wa kushawishi nchi washirika katika vikwazo,japo hili dawa yake muda si mrefu itapatikana ...
Siku china akiziweka nchi za kiarabu mfukoni jeuri ya marekani kweshnei...
Watanzania hakuna wa imara kuanzia wananchi mpaka viongozi...hata akitokea kiongozi imara atazungukwa na watu dhaifu goigoi na kupelekea nae kurudi kule kule
Hili naungana na wewe kabsaaa...yeye ni samaki kwenye maji hakuna atakaeona machozi yake ..
Ila nakuhakikishia kuanzia 2031 ipo siku wa Tanzania watajua kilichokuwa kinaendelea nyuma ya pazia
Watu walioko serikalini/ utawala wake ndio wabaya hasa kuliko hata vyama vya upinzani...
Wenye akili timamu washaanza kugundua hao watu wanamtengenezea ajali nyingi za kisiasa kwa makusudi ili aendelee kuchukiwa na wananchi kwa kisingizio cha kumlinda au kumtetea...
Je walimu/wahadhiri wa wataaluma hao katika ujana na taaluma zao nao walikuwa Machawa..!!!
Nyerere hakuwa mjinga kuacha taaluma ya vyuo vikuu itimize wajibu wake wa kitaaluma kwa kukosoa/ kurekebisha na kutoa mifano mbalimbali ya uwajibika na usio uwajibaki wa serikali....huwezi kufundisha...
Icho kizazi kipo sasa...? Nachozungumzia ni miaka ijayo...wanafunzi wa leo ndio wahadhiri na viongozi wa miaka ijayo ....kinachofundishwa leo ndio kitakuja rejea matokeo ya maisha ya miaka ijayo
Nadhani kuna ajali anaweza kuwa anatengenezewa kimakusudi na kwa ufundi sana na wasaidizi wake kwa kisingizio kuwa wanamlinda na wanalinda chama.... ila mioyoni mwao wamedhamilia kumkomoa/kumdhalilisha kwa kujua ndio atazidi kuchukiwa na kila rika mpaka kwa wasomi...
Iko haja kuja watawala...
Ni hatari baadhi course hasa za utawala,masuala ya usimamizi wa fedha,uandishi wa habari,manunuzi na sheria ni kama tayari wahadhiri husika watakuwa wameingia ubaridi na zitakosa uhalisia katika ufundishaji wake katika mazingira ya nchi yetu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.