Yaani kuna kila dalili za kuonyesha huu ni mpango wa kupiga hela kwa watu wasioridhika na wasio waaminifu ndani ya serikali...hii itaenda mpaka lini???
Inawezekana hawampendi Rais lkn ona wanavyoviabisha polisi,ona wanavyoiabisha jeshi la wananchi taswira yake...
Rais atatoka baada ya miaka 3...
Hiyo ni kwa wale ambao hujua anaenda fanya nini na lengo kuu la maisha yake ni nini...
Ila kwa wale kama wamekatwa vichwa hapana aisee...UJUZI na ELIMU humbeba mtu kujua jografia ya anapoenda kunataka nini ila sio watu wa hiyo mikoa..
Huu ni ukweli usiopingika, vijana wa hovyo hovyo wa mikoa hiyo ndio ukimbilia huko, angalia hata majina yao utabaini hata DADA zao pia nao wakijitahid ni uarabuni kazi za ndani.
Ila vijana wa mikoa mengine hukuti wakiwaza huo upuuzi,zaidi wale wenye elimu kama kutoka nje ya nchi basi hufikiria...
Tulishakubaliana kila mtu ajipakulie manyama atakavyo si ndio...
Na turishakubaliana mambo ya kushtakiana ni ya kizamani na yashipitwa na wakati..
AMBAO BADO HAWAJAINGIA JIKONI KUJIPAKULIA MINOFU NDIO WAPIGA KELELE WAKUU
No worries. Everyone is entitled to their opinion. I don't hate anyone, and I prefer discussing ideas respectfully rather than trading insults. If you disagree with my view, feel free to explain your position and we can have a constructive conversation
Hatari Sana..kwa maana nyingine Iran ni mwanamke aliyeshika pumb.....u za baunsa mwanaume( marekani) ugomvi wa hadharani....Hapo chaguzi za baunsa aendelee kumpiga ngumi huku MTU anazidi kupata korodani zake au aombe poo.
Mkubwa wa taarifa za kinakuhusu miradi ya makubaliano na kukosekana na nyenzo za kufuatilia na kupima maendeleo ya ahadi zinazotolewa katika mikutano hii.
Wachambuzi wengi wanaonya kwamba usiri huu unaondoa shauku ya vitu mahsusi vya kufuatilia katika mkutano huo kiasi kwamba mijadala mingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.