Recent content by ryan riz

  1. ryan riz

    Kwanini matumizi ya Condom hubaki kwa mwanaume ndiye mwenye uamuzi?

    Asilimia 98 wanaume ndio wenye maamuzi ya kutumia condom
  2. ryan riz

    Eng. Hersi bingwa wa kuvamia shughuli bila mwaliko

    Hizi picha si halisi angalieni vizuri..mbona km hersi kichwa kimepachikwa....
  3. ryan riz

    FT: Yanga SC 5-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 31.12.2023

    Ila kila nikiwaona wanzetu wa visiwani naonaga kama vile wengi umeme mdogo vichwani..
  4. ryan riz

    Sukari yafika 3500 kwa Kg 1 na hiyo ni Dodoma..ila hatusikii kelele kama alizopigiwa Magufuli

    Hilo liko wazi... Uongozi ni kipawa waswahili husema...Si kila mtu anafaa kuwa kiongozi.. Yaani kuna hawa wanaitwa viongozi wetu ukiwaangalia tu hawana sifa za wao kuwa viongozi ila undugu,kujuana na kamleteni ndio imetufikisha hapa
  5. ryan riz

    Sukari yafika 3500 kwa Kg 1 na hiyo ni Dodoma..ila hatusikii kelele kama alizopigiwa Magufuli

    Hahaha braza sukari ni kakiungo muhimu sana kwenye vitu vingi...ila kiujumla vitu vimepanda bei sana yaani sana
  6. ryan riz

    Sukari yafika 3500 kwa Kg 1 na hiyo ni Dodoma..ila hatusikii kelele kama alizopigiwa Magufuli

    Unafiki wa Watanzania ndio hapa, hakuna cha chama cha upinzani wala wanaharakati koko. Vitu vimepanda bei zaidi ya mara tatu ya enzi za Magufuli ila watu kimyaa! Nimeamini zile kelele za vyuma vimekaza ni za washenzi waliobaniwa mirija yao tu na sukari yenyewe zimejazwa vumbi tu hazikoi...
  7. ryan riz

    Simba aruhusiwe kucheza mechi vs Wydad ianze saa tisa kwa Mkapa kwenye jua. Kama Mamelodi anavyoanza mechi zake na Waarabu saa tisa kwenye jua

    Hivi huwa mnajisahaulisha hao waarabu wanatokea JANGWANI kwenye jua kali Dar cha Mtoto? Huwa nachekaga sana naposikia eti tuwachezeshe mchana jua kali...utafikiri waarabu wanatoka Scandinavian countries....
Back
Top Bottom