Recent content by ryan riz

  1. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Uzuri me bidhaa mfano mavazi nashukuru nikiwa Bar zinanijia alafu bei kitonga... Kiatu kinapitishwa Bar cha elfu 25 ukikuta dukani laki na kuendelea..
  2. ryan riz

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Wakatae na hilo
  3. ryan riz

    JamiiForums Tanzania 7/7 hakuna watu, Serikali imefanikiwa kuyaua maonesho kwa kutengeneza hofu isiyo na sababu, wafanyabiashara wanalia

    Yaani kuna kila dalili za kuonyesha huu ni mpango wa kupiga hela kwa watu wasioridhika na wasio waaminifu ndani ya serikali...hii itaenda mpaka lini??? Inawezekana hawampendi Rais lkn ona wanavyoviabisha polisi,ona wanavyoiabisha jeshi la wananchi taswira yake... Rais atatoka baada ya miaka 3...
  4. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Mfumo imara huhitaji watu imara. Tanzania tuna watu wavivu walalamishi, waongo na walafi

    Hapana..maana mifumo imara huanza kwa kujenga kizazi bora na imara toka kwenye malezi ya watoto...wenzetu Ulaya hufanya hivyo ndio unachoona leo
  5. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanga na Dar es Salaam hasa wale wasio na elimu ndio hukimbilia Afrika Kusini toka zamani

    Hiyo ni kwa wale ambao hujua anaenda fanya nini na lengo kuu la maisha yake ni nini... Ila kwa wale kama wamekatwa vichwa hapana aisee...UJUZI na ELIMU humbeba mtu kujua jografia ya anapoenda kunataka nini ila sio watu wa hiyo mikoa..
  6. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanga na Dar es Salaam hasa wale wasio na elimu ndio hukimbilia Afrika Kusini toka zamani

    Huu ni ukweli usiopingika, vijana wa hovyo hovyo wa mikoa hiyo ndio ukimbilia huko, angalia hata majina yao utabaini hata DADA zao pia nao wakijitahid ni uarabuni kazi za ndani. Ila vijana wa mikoa mengine hukuti wakiwaza huo upuuzi,zaidi wale wenye elimu kama kutoka nje ya nchi basi hufikiria...
  7. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Mwenye ushahidi wa kiongozi aliyefanya matumizi mabaya ya fedha za umma aufikishe kwenye vyombo vya sheria, hatua zitachukuliwa

    Tulishakubaliana kila mtu ajipakulie manyama atakavyo si ndio... Na turishakubaliana mambo ya kushtakiana ni ya kizamani na yashipitwa na wakati.. AMBAO BADO HAWAJAINGIA JIKONI KUJIPAKULIA MINOFU NDIO WAPIGA KELELE WAKUU
  8. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Why Tanzanians have endless love to thier President Dr.Samia Suluhu Hassan?

    No worries. Everyone is entitled to their opinion. I don't hate anyone, and I prefer discussing ideas respectfully rather than trading insults. If you disagree with my view, feel free to explain your position and we can have a constructive conversation
  9. ryan riz

    JamiiForums Tanzania The New York Times: Vita inaligeuza taifa la Iran kuwa kubwa duniani

    Hatari Sana..kwa maana nyingine Iran ni mwanamke aliyeshika pumb.....u za baunsa mwanaume( marekani) ugomvi wa hadharani....Hapo chaguzi za baunsa aendelee kumpiga ngumi huku MTU anazidi kupata korodani zake au aombe poo.
  10. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Habari hii ya BBC kwa viongozi wa Afrika imejaa maneno ya dharau, kebehi kisa viongozi wameenda kwa wingi China

    Mkubwa wa taarifa za kinakuhusu miradi ya makubaliano na kukosekana na nyenzo za kufuatilia na kupima maendeleo ya ahadi zinazotolewa katika mikutano hii. Wachambuzi wengi wanaonya kwamba usiri huu unaondoa shauku ya vitu mahsusi vya kufuatilia katika mkutano huo kiasi kwamba mijadala mingi...
  11. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Kwanini matumizi ya Condom hubaki kwa mwanaume ndiye mwenye uamuzi?

    Asilimia 2 iliyobakia
  12. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Kwanini matumizi ya Condom hubaki kwa mwanaume ndiye mwenye uamuzi?

    Asilimia 98 wanaume ndio wenye maamuzi ya kutumia condom
  13. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Eng. Hersi bingwa wa kuvamia shughuli bila mwaliko

    Hizi picha si halisi angalieni vizuri..mbona km hersi kichwa kimepachikwa....
Back
Top Bottom