Hilo liko wazi... Uongozi ni kipawa waswahili husema...Si kila mtu anafaa kuwa kiongozi..
Yaani kuna hawa wanaitwa viongozi wetu ukiwaangalia tu hawana sifa za wao kuwa viongozi ila undugu,kujuana na kamleteni ndio imetufikisha hapa
Unafiki wa Watanzania ndio hapa, hakuna cha chama cha upinzani wala wanaharakati koko. Vitu vimepanda bei zaidi ya mara tatu ya enzi za Magufuli ila watu kimyaa!
Nimeamini zile kelele za vyuma vimekaza ni za washenzi waliobaniwa mirija yao tu na sukari yenyewe zimejazwa vumbi tu hazikoi...
Hivi huwa mnajisahaulisha hao waarabu wanatokea JANGWANI kwenye jua kali Dar cha Mtoto? Huwa nachekaga sana naposikia eti tuwachezeshe mchana jua kali...utafikiri waarabu wanatoka Scandinavian countries....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.