Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Huyu jamaa shughuli yoyote lazima ajitokeze hata bila mwaliko,
Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.
Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.
Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga wameponda weeee African football league hata sasa hivi ila siku ya ufunguzi Rais wa FIFA alipotoka jukwaani akiwa na wenyeji wake Rais wa TFF na Try Again mara Hersi kavamia hapo hapo jamaa hanaga mshipa wa aibu, Fainali ya African football league Africa kusini Yanga walisema amealikwa, mara wanaoruhusiwa kukaa VIP ni washiriki na waheshimiwa wengine jamaa akakaa kwa mashabiki.
Sasa wamekuja na uzushi kwamba alialikwa na PSG cha kushangaza kumbe jamaa kakutana tu Mbape baada ya mazoezi ambacho ni kawaida kwa watu wa kawaida ila Yanga wanaikuza tu wakati hata kwenye mitandao ya kijamii ya PSG hawajapost na hawajui, tuacheni ushamba picha na wachezaji wa kubwa ni kawaida washapiga sana kina Mwana FA, Ommy Dimpoz, Kitenge n.k.
Ila inatia aibu kuvamia shughuli na kuzusha umealikwa.
Sent using Jamii Forums mobile app