Mheshimiwa Tundu Lissu, Watanzania ni wapenzi wa michezo hasa mpira wa miguu, lakini viwanja vya michezo vingi hasa vya mikoani ni vibovu na hasa baada ya Chama Cha Mapinduzi kujimilikisha viwanja vilivyokuwa vinamilikiwa na Manispaa na vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi.
Je, huoni ni wakati...
Mheshimiwa Tundu Lissu, Watanzania ni wapenzi wa michezo hasa mpira wa miguu, lakini viwanja vya michezo vingi hasa vya mikoani ni vibovu na hasa baada ya Chama Cha Mapinduzi kujimilikisha viwanja vilivyokuwa vinamikikiwa na Manispaa na vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi.
Je, huoni ni wakati...
Pascal Mayalla ili kuondoa hii sintofahamu ni kwa Serikali kuuweka huo mkataba hadharani kwa umma kwa kuupeleka kwenye Bunge kama sheria inavyotamka! Hiyo taarifa ya BBC iwe kichocheo au changamoto ya kufanya hivyo!
Hatimaye Bunge Dhaifu limeshindwa kusimamia Azimio lake Dhaifu la kutokufanya kazi na CAG! Huu ni uthibitisho dhahiri na rasmi kwamba Bunge chini ya Spika Job Ndugai na Naibu Spika Dk Tulia Ackson ni Dhaifu kwelikweli linashindwa hata kusimamia maazimio yake yaliyo Dhaifu!
Rais Mteule wa TLS anazungumzia Rais wa TLS 2017 aliyemiminiwa risasi! Ni wajibu wake kuikumbusha Serikali kuhusu kesi ya kiongozi wao aliyeshambuliwa akiwa madarakani na hakuna hatua zozote zilizokwisha kuchukua!
Polisi wewe unachekesha sana! Unauliza: 'Hapo napo kunafikirisha sana, ni nani hasa aliyefungua geti' maana tunatambua kabsa haiwezekani nyumba ya viongozi mahali ambapo kuna walinzi geti likawa wazi...' Sasa huyo mlinzi, Polisi au korokoroni aliyekuwa zamu ya kufungua geti mmeshamuhoji alikuwa...
Hahahaha! Huwezi kumpa airtime mtu ambaye hakujitayarisha na hakuwa na lolote la maana la kusema! Kwanza kuonyesha how wayward he was, he addressed Jon as George! He also said the Media Services Act of 1916 which Tundu Lissu was also involved in enacting! Really 1916? How do you give airtime to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.