Ni vile kila mtu huwa anaona hapamuhusu lakini kila mtu ni mfungwa mtarajiwa ni matter of time hata ukiwa kiongozi mkubwa mambo yanaweza kubadilika kulingana na uongozi wa wakati husika ukalazimika kuingizwa gerezani kulingana na uliyoyafanya kipindi cha uongozi wako mfano sabaya hakuwahi kuwaza...
Mnapenda kulalama kama watoto wa kambo.yani nyie mmeshaona kana kwamba simba na yanga ni kurwa na doto kwamba simba akipata iki na yanga lazima apate .mwacheni uswahili na ushamba wenu caf hakuna mambo kama hayo
Na nyie mnapenda kulalamika Sana sasa kama hawajatambua uwepo wenu kwa nini mlazimishe uwepo wenu.kwan kule wanagawa hela kwamba mmezikosa acheni uswahili na ushamba usio na maana
Si unajua tabia za wabongo za kujitengezea vi logic uchwara Bila kufuatilia mambo kwa kina kwanza ndo waandike.nb nakushukuru kwa kumuonesha kwamba kuna wako makini anapokuja kuandika kitu ajiridhishe ukweli wa anayoyaandika
Ifike mahali itungwe sheria kwamba wanaharakati wa kike wanaofanya harakati zinazousiana na ndoa wawe ni wanandoa na ndoa zao tujiridhishe kwamba ni za mfano kwenye jamii sio li mtu linatoka uko hata halijui nini maana ya ndoa eti kinaongelea ndoa .haya majitu yanayojiita wanaharakati wanatamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.