Maswali kwa TFF na Kanuni zao

Makonyeza

Member
Feb 2, 2020
69
252
*Hivi umeshawahi kushuhudia CAF wakijishughulisha na mashindano ya Kagame Cup, jibu ni hapana, na sababu ni moja tu, kwamba CAF kama baba wa Mpira Afrika hawayatambui mashindano hayo.

*Hivi kwani matamasha ya Simba Day na Mwananchi Day yanatambulika na Tff?, jibu ni hapana, na sababu ni kwamba ni matamasha yasiyo rasmi(bonanza) na hayapo katika Kalenda ya Tff. Na zaidi hayahusiki wala kuwajibika kwa kanuni wala katiba ya Tff.

*Hivi, hukumu ya Tff kwa Manara haina ukomo, jibu ni inao ukomo na ndio sababu hata mwenyekiti wa hiyo kamati ya maadili alisikika akieleza kwamba kifunho cha Manara hakitohusisha mitandao yake ya kijamii(kwa sababu ni mambo yake binafsi).

*Kwani kuuzungumza na kuujadili Mpira kwa kutumia mitandao ya kijamii sio kujishughulisha na Mpira?? Jibu ni hapana, huko pia ni kujishughulisha tena kwenye athari zaidi kwa sababu jambo lolote kupitia mitandao hufika mbali na kwa haraka zaidi. Hata taarifa za Tff wenyewe asilimia tisini tunazipata kupitia mitandao ya kijamii.
Sasa Kumfungia Manara kutojishuguulisha na soka isipokuwa kwa mitandao yake ya kijamii hii ni FUTUHI kama futuhi zingine tu.

Kama ni vile kusema eti hatakiwi kujishughulisha na shughuli yoyote inayohusiana na Soka, swali Je, hivi Tff wangemshtaki Manara hata kama wangemkuta anapiga Dana Dana au akicheza au kushiriki Ndondo Cup kwa namna yoyote, jibu ni kwamba wasingeshughulika naye kwa sababu Tff huko mkono wao kimamlaka haufiki kwa maana hawatambui shughuli hizo kisheria wala kikanuni.

SASA Basi, kwa Tff kuendelea kuendelea kujishughulisha na mambo ambayo kikanuni, kisheria na kimamlaka hakiwahusu ni kuthibitisha kwamba inawezekana tafsiri za kanuni zao wenyewe inawashinda na Sasa wanalazimika kutumia mabavu tu, na ushahidi wa hili ni ile tamko lililotolewa na yule mwenyekiti wa kamati ya maadili kwamba eti Manara haruhusiwi kujishughulisha na Mpira ndani na hata NJE YA NCHI.

Kwangu hii ilimaanisha TFF wanahukumu kwa kutumia sheria na kanuni wasizozijua.

Kwa hili sicheki bali ninasikitika!

Jadili changa, matusi sitaki!
FB_IMG_1659853585376.jpg
 
Samahani mkuu hapo nakupga haswa kuna mechi ya kagame cup kama cjakosea ilikua tp mazemb wachezaj wao walzngua kwa kumpga refa mbna hukum iltoka kaf
Si unajua tabia za wabongo za kujitengezea vi logic uchwara Bila kufuatilia mambo kwa kina kwanza ndo waandike.nb nakushukuru kwa kumuonesha kwamba kuna wako makini anapokuja kuandika kitu ajiridhishe ukweli wa anayoyaandika
 
*Hivi umeshawahi kushuhudia CAF wakijishughulisha na mashindano ya Kagame Cup, jibu ni hapana, na sababu ni moja tu, kwamba CAF kama baba wa Mpira Afrika hawayatambui mashindano hayo.

*Hivi kwani matamasha ya Simba Day na Mwananchi Day yanatambulika na Tff?, jibu ni hapana, na sababu ni kwamba ni matamasha yasiyo rasmi(bonanza) na hayapo katika Kalenda ya Tff. Na zaidi hayahusiki wala kuwajibika kwa kanuni wala katiba ya Tff.

*Hivi, hukumu ya Tff kwa Manara haina ukomo, jibu ni inao ukomo na ndio sababu hata mwenyekiti wa hiyo kamati ya maadili alisikika akieleza kwamba kifunho cha Manara hakitohusisha mitandao yake ya kijamii(kwa sababu ni mambo yake binafsi).

*Kwani kuuzungumza na kuujadili Mpira kwa kutumia mitandao ya kijamii sio kujishughulisha na Mpira?? Jibu ni hapana, huko pia ni kujishughulisha tena kwenye athari zaidi kwa sababu jambo lolote kupitia mitandao hufika mbali na kwa haraka zaidi. Hata taarifa za Tff wenyewe asilimia tisini tunazipata kupitia mitandao ya kijamii.
Sasa Kumfungia Manara kutojishuguulisha na soka isipokuwa kwa mitandao yake ya kijamii hii ni FUTUHI kama futuhi zingine tu.

Kama ni vile kusema eti hatakiwi kujishughulisha na shughuli yoyote inayohusiana na Soka, swali Je, hivi Tff wangemshtaki Manara hata kama wangemkuta anapiga Dana Dana au akicheza au kushiriki Ndondo Cup kwa namna yoyote, jibu ni kwamba wasingeshughulika naye kwa sababu Tff huko mkono wao kimamlaka haufiki kwa maana hawatambui shughuli hizo kisheria wala kikanuni.

SASA Basi, kwa Tff kuendelea kuendelea kujishughulisha na mambo ambayo kikanuni, kisheria na kimamlaka hakiwahusu ni kuthibitisha kwamba inawezekana tafsiri za kanuni zao wenyewe inawashinda na Sasa wanalazimika kutumia mabavu tu, na ushahidi wa hili ni ile tamko lililotolewa na yule mwenyekiti wa kamati ya maadili kwamba eti Manara haruhusiwi kujishughulisha na Mpira ndani na hata NJE YA NCHI.

Kwangu hii ilimaanisha TFF wanahukumu kwa kutumia sheria na kanuni wasizozijua.

Kwa hili sicheki bali ninasikitika!

Jadili changa, matusi sitaki! View attachment 2316824
Mbona unajibu maswali ya TFF?
Nawe mtunga maswali/mtihani unakosa.

Uongozi wa mpira umeanzia Taifa, mkoa na wilayani. Kama ilivyo kwa Dunia, mabara, zones, na nchi husika. Kinachofanyika wilayani, hutakiwa kusimamiwa kiwilaya. Kila kitu na ngazi zake na vyote hutakiwa kufuata sheria mama kwa kuwa ni wanachama au ngazi katika uongozi husika. Huwezi kuanzisha vitu kivyako vyako, lazima kuna utaratibu.

Ukifanya vinginevyo ni kinyemela tu, na siku likitokea la kutokea utawajibika. Pia kila mmoja anawajibika kujisajili kwa kila michezo husika, na kufuata taratibu husika la sivyo ni mvunja sheria kama wengine.
 
Kila tukisema hii tm ina vilaza wengi tunamaanisha, Kamuulize Trezor Mputu kilichomkuta huko FIFA na CAF baada ya kumharasi refa kwenye mashindano ya Kagame.
*Hivi umeshawahi kushuhudia CAF wakijishughulisha na mashindano ya Kagame Cup, jibu ni hapana, na sababu ni moja tu, kwamba CAF kama baba wa Mpira Afrika hawayatambui mashindano hayo.

*Hivi kwani matamasha ya Simba Day na Mwananchi Day yanatambulika na Tff?, jibu ni hapana, na sababu ni kwamba ni matamasha yasiyo rasmi(bonanza) na hayapo katika Kalenda ya Tff. Na zaidi hayahusiki wala kuwajibika kwa kanuni wala katiba ya Tff.

*Hivi, hukumu ya Tff kwa Manara haina ukomo, jibu ni inao ukomo na ndio sababu hata mwenyekiti wa hiyo kamati ya maadili alisikika akieleza kwamba kifunho cha Manara hakitohusisha mitandao yake ya kijamii(kwa sababu ni mambo yake binafsi).

*Kwani kuuzungumza na kuujadili Mpira kwa kutumia mitandao ya kijamii sio kujishughulisha na Mpira?? Jibu ni hapana, huko pia ni kujishughulisha tena kwenye athari zaidi kwa sababu jambo lolote kupitia mitandao hufika mbali na kwa haraka zaidi. Hata taarifa za Tff wenyewe asilimia tisini tunazipata kupitia mitandao ya kijamii.
Sasa Kumfungia Manara kutojishuguulisha na soka isipokuwa kwa mitandao yake ya kijamii hii ni FUTUHI kama futuhi zingine tu.

Kama ni vile kusema eti hatakiwi kujishughulisha na shughuli yoyote inayohusiana na Soka, swali Je, hivi Tff wangemshtaki Manara hata kama wangemkuta anapiga Dana Dana au akicheza au kushiriki Ndondo Cup kwa namna yoyote, jibu ni kwamba wasingeshughulika naye kwa sababu Tff huko mkono wao kimamlaka haufiki kwa maana hawatambui shughuli hizo kisheria wala kikanuni.

SASA Basi, kwa Tff kuendelea kuendelea kujishughulisha na mambo ambayo kikanuni, kisheria na kimamlaka hakiwahusu ni kuthibitisha kwamba inawezekana tafsiri za kanuni zao wenyewe inawashinda na Sasa wanalazimika kutumia mabavu tu, na ushahidi wa hili ni ile tamko lililotolewa na yule mwenyekiti wa kamati ya maadili kwamba eti Manara haruhusiwi kujishughulisha na Mpira ndani na hata NJE YA NCHI.

Kwangu hii ilimaanisha TFF wanahukumu kwa kutumia sheria na kanuni wasizozijua.

Kwa hili sicheki bali ninasikitika!

Jadili changa, matusi sitaki! View attachment 2316824
 
Haraka ya nini wewe subiri uone kama hawataadhibiwa ndiyo ufanye hitimisho kama yanawahusu au laa, kwanza hadi vipers wanakuja unafikiri hao Yanga hawakupita TFF japo ni tamasha?
 
Eti na wewe ni shabiki wa mpira!! Huu muda unaoharibu kuandika utumbo kama huu ni afadhali ungeutumia kufua hicho kinyesi kwenye pichu .

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Manara tutakukumbuka uliona mbali tukimtoa kikwete na baba manara mashabiki wa yanga waliobaki wote hawana akili na siku watakapokuja kujielewa hatuna budi hii kauli kuifuta lakini kwa sasa acha twende na akili zao maana kati kati ya medula zao kuna kutu imejaa thats why wapo emotional sana wanaongea bila kufikiri kwa kina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom