Recent content by Rwabugiri

  1. R

    Nina hoja nisikilizwe; Ubunge uwe miaka 3, Urais 5, Waziri asiwe Mbunge. Ajira zitapatikana tu

    Hapo umenena, kuna wizara kweli zinahitaji walau waziri awe na utaalamu kidogo juu ya mambo ya wizara husika anayo iongoza. Ikiwa hivo itasaidia sana kwani wengi wanaboronga ama kupotoshwa kwasababu hawajui utaalamu husika wa wanacho kiongoza.
  2. R

    Profesa Manya: Ratiba za uzoaji Taka nchini hazieleweki na maeneo mengi hayana Madampo

    Ni kweli halafu huyu Profesa yuko vizuri kichwani. Alipokuwa madini alipatendea haki, bora wangemrejesha atumie utaalamu wake kuendeleza ile sekta. Tukipunguza siasa nyingi kwenye mambo ya msingi hasa ya kitaalamu tutasonga mbele kwa kasi!
  3. R

    Postgraduate online application za UDSM zina matatizo?

    Asante mkuu KIBUYU, Ila watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo ili twende mbele. Binafsi nawapongeza UDSM kwa kujaribu kwenda online kwa Postgraduate unlike other Universities/Institutes/Colleges. Ni jambo zuri kwani litawarahisishia hata wenzetu waliopo nje ya nchi kufanya application yao...
  4. R

    Kwa wizi huu wa TANESCO, lazima tufike 1.9tr

    Mkuu, sina hakika sana na data ya mleta mada, lakini hata mimi juzi nilishangaa, umeme wa elfu thelathini.. nilikatwa kodi zao ikabaki elfu 24,000 na kwa kiasi hicho cha pesa nikaambulia unit 65. kwa maana unit moja ilikuwa zaidi ya 360 TSh.!!! TANESCO nahisi kuna kajipu kwenye bei za umeme si bure!
  5. R

    Chopa ya Livingstone Lusinde yapata hitilafu, yashindwa kuruka

    No Deo was so objective hata kama alikuwa ugambani! RIP Deo
  6. R

    Yanayojiri Uzinduzi wa ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo. Serikali ya Oman, China & TZ wapo

    Mi natamani kujua eneo linalo chukuliwa ni kuanzia baharini hadi wapi? I mean je linavuka ngambo ya pili ya barabara?
  7. R

    Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi

    Ebu itendee haki dhamira na nafsi yako kidogo, hivi we unaona kuwanyima wenzio haki yao ni sawa? Eti kuwasha risasi, kwani mnyama pori huyo?
  8. R

    Mpaka hapa Dr. Slaa kubali kuwa Lowassa ni ASSET

    Binafsi hapa naona Dr. Slaa naye katuchuuza, ghafla kageukia upande wa pili na kutaka kutuaminisha kwamba ubaya wooote wa CCM aliokuwa akitwambia na kutuaminisha ni Lowasa tu, jama -hadi Escrow ya juzi, - hadi twiga - hadi sembe - hadi tembo wetu - vitalu vya gesi...
  9. R

    Watanzania kufanya maamuzi magumu tarehe 25/10/2015

    Duu?? jamani wapi hiyo?? hao watu ama?? Ninawasi wasi huenda kura zikashindikana kutoshelezwa kwa mwendo huu:cheer2:
  10. R

    Program Note: Operesheni Funguka... Oktoba 5. Mabadiliko Hayabinafsishwi!

    Labda ilikuwa ile alo isema Mwigamba ya ACT:mad2:
  11. R

    Wake za Magufuli na Lowassa

    unapopotea ni pale unaposahau kwamba.. Utawala si wa mtu mmoja, kwa hiyo 'ccm ni ile ile' kwa maana watu wake, na mfumo wake... By theway magufuli si kwamba ni msafi, ila kwa vile amekaa na wachafu zaidi anaonekana walau... Ila kwa mwendo wa ile ile no please! mabadiliko with no apology! bora...
  12. R

    Wake za Magufuli na Lowassa

    i guess you are missing a point here... Magufuli can be the best but what about 'ccm ni ileile'? Now with this dude being 'ile ile' better lowasa outside ccm!
  13. R

    Program Note: Operesheni Funguka... Oktoba 5. Mabadiliko Hayabinafsishwi!

    Hapo umenena vyema, hakuna mweye hatimiliki, na watanzania tuacheni tuamue wenyewe kila mtu kwa nafsi yake nani anaye mtaka, siyo kakikundi fulani kakae kupanga mikakati ya kung'ang'ania ikulu kama vile ni yao peke yao! eti ikulu hatuwapi? kwani yenu??? 'LET THE TANZANIAN SPEAK FAIRLY...
  14. R

    Lowassa kutekeleza haya ndani ya siku 100 za kwanza

    Unaona sasa akili za Ki CCM namna hii ndo maana hatusogei kwani kigumu ni nini hapo? Ukiondoa mishangingi inayo shinda inazurula eti na wakuu wa wilaya na mikoa tayali unasevu bilions za kufanya yote hayo. Ukisimamia kodi kwa wezi wote wa raslimali zetu, gesi, madini, wanyamapoli... mihela...
Back
Top Bottom