Hapo umenena, kuna wizara kweli zinahitaji walau waziri awe na utaalamu kidogo juu ya mambo ya wizara husika anayo iongoza. Ikiwa hivo itasaidia sana kwani wengi wanaboronga ama kupotoshwa kwasababu hawajui utaalamu husika wa wanacho kiongoza.
Ni kweli halafu huyu Profesa yuko vizuri kichwani. Alipokuwa madini alipatendea haki, bora wangemrejesha atumie utaalamu wake kuendeleza ile sekta. Tukipunguza siasa nyingi kwenye mambo ya msingi hasa ya kitaalamu tutasonga mbele kwa kasi!
Asante mkuu KIBUYU,
Ila watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo ili twende mbele. Binafsi nawapongeza UDSM kwa kujaribu kwenda online kwa Postgraduate unlike other Universities/Institutes/Colleges. Ni jambo zuri kwani litawarahisishia hata wenzetu waliopo nje ya nchi kufanya application yao...
Mkuu, sina hakika sana na data ya mleta mada, lakini hata mimi juzi nilishangaa, umeme wa elfu thelathini.. nilikatwa kodi zao ikabaki elfu 24,000 na kwa kiasi hicho cha pesa nikaambulia unit 65. kwa maana unit moja ilikuwa zaidi ya 360 TSh.!!!
TANESCO nahisi kuna kajipu kwenye bei za umeme si bure!
Binafsi hapa naona Dr. Slaa naye katuchuuza, ghafla kageukia upande wa pili na kutaka kutuaminisha kwamba ubaya wooote wa CCM aliokuwa akitwambia na kutuaminisha ni Lowasa tu,
jama -hadi Escrow ya juzi,
- hadi twiga
- hadi sembe
- hadi tembo wetu
- vitalu vya gesi...
unapopotea ni pale unaposahau kwamba.. Utawala si wa mtu mmoja, kwa hiyo 'ccm ni ile ile' kwa maana watu wake, na mfumo wake... By theway magufuli si kwamba ni msafi, ila kwa vile amekaa na wachafu zaidi anaonekana walau... Ila kwa mwendo wa ile ile no please!
mabadiliko with no apology!
bora...
i guess you are missing a point here... Magufuli can be the best but what about 'ccm ni ileile'?
Now with this dude being 'ile ile' better lowasa outside ccm!
Hapo umenena vyema, hakuna mweye hatimiliki, na watanzania tuacheni tuamue wenyewe kila mtu kwa nafsi yake nani anaye mtaka, siyo kakikundi fulani kakae kupanga mikakati ya kung'ang'ania ikulu kama vile ni yao peke yao! eti ikulu hatuwapi? kwani yenu???
'LET THE TANZANIAN SPEAK FAIRLY...
Unaona sasa akili za Ki CCM namna hii ndo maana hatusogei kwani kigumu ni nini hapo?
Ukiondoa mishangingi inayo shinda inazurula eti na wakuu wa wilaya na mikoa tayali unasevu bilions za kufanya yote hayo.
Ukisimamia kodi kwa wezi wote wa raslimali zetu, gesi, madini, wanyamapoli... mihela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.