Postgraduate online application za UDSM zina matatizo?

sobstar

Member
Aug 27, 2012
28
4
Nimefanya application ya Masters UDSM online. Nimefuata taratibu zote na nimefanikiwa kutuma maombi na kupata serial number (S/N). Lakini mpaka sasa kwenye application form inaonyesha kwenye REFEREE STATUS- Recommendation not submitted. Nimejaza emails za referees kwenye application kama walivyotaka. Referees hawajatumiwa emails ili wa recommend. Lakini kwenye form wanasema REMIND/INFORM THE REFEREE. Nimejaribu kuomba msaada kupitia HELP DESK ya chuo sikujibiwa. Nimetuma emails mara mbili kwenye email ya POSTGRADUATE STUDIES (admissiondpgs@udsm.ac.tz) lakini najibiwa delivery to recipient failed permenently. Kwa kuwa S/N yangu ina 3 FIGURES, bila shaka wengi tumeomba. Nomba kujua kama kuna mwenye tatizo kama langu na nini la kufanya. Pia nilishapiga simu iliopo kwenye CONTACT YA POSTGRADUATE lakini hakuna mabadiliko kwenye form yangu.
Msaada wenu wakuu.
 
Wakiambiwa UDSM hawapo makini wanakataa haya sasa ngoja tuwasubiri tuone. Kama vp mkuu fika pale chuoni kabisa.
 
Nimefanya application ya Masters UDSM online. Nimefuata taratibu zote na nimefanikiwa kutuma maombi na kupata serial number (S/N). Lakini mpaka sasa kwenye application form inaonyesha kwenye REFEREE STATUS- Recommendation not submitted. Nimejaza emails za referees kwenye application kama walivyotaka. Referees hawajatumiwa emails ili wa recommend. Lakini kwenye form wanasema REMIND/INFORM THE REFEREE. Nimejaribu kuomba msaada kupitia HELP DESK ya chuo sikujibiwa. Nimetuma emails mara mbili kwenye email ya POSTGRADUATE STUDIES (admissiondpgs@udsm.ac.tz) lakini najibiwa delivery to recipient failed permenently. Kwa kuwa S/N yangu ina 3 FIGURES, bila shaka wengi tumeomba. Nomba kujua kama kuna mwenye tatizo kama langu na nini la kufanya. Pia nilishapiga simu iliopo kwenye CONTACT YA POSTGRADUATE lakini hakuna mabadiliko kwenye form yangu.
Msaada wenu wakuu.
Pole sana aise!
Mimi mwenyewe nilikuwa naomba online but ni majanga matupu!!!!!
Tatizo langu mimi ni kuwa Registration Number yangu ambayo iko ktk format hii, XXXXX/T.2001 haitambuliki na ARIS.
Nimeandika email kwa directorate of postgraduate + college principals ili kuomba msaada but mpaka sasa ni wiki limepita sijajibiwa. Kama haitoshi nimerudia tena kuandika email to the same but hakuna msaada. Nimepiga simu, but hazipokelewi. Nimetuma email through helpdesk, but hakuna kujibiwa kabisa. Sasa nafikiria kuapply manually which is costful as it will involve travelling but no way!
NB: iyo email nadhani ulikosea, ni admission.dpgs@udsm.ac.tz (kuna nukta katikati ya admission na dpgs).
 
Hivi kuna uwezekano wa kuapply kawaida kupitia kujaza form au.lazima iwe online?
Yes! Na forms for manually application zipo, we nenda tu kwenye website ya UDSM - postgraduates.

Ila tukiri kabisa kwenye hii kitu ya application online - NACTE wapo juu sana!!!!!!
 
Pole sana aise!
Mimi mwenyewe nilikuwa naomba online but ni majanga matupu!!!!!
Tatizo langu mimi ni kuwa Registration Number yangu ambayo iko ktk format hii, XXXXX/T.2001 haitambuliki na ARIS.
Nimeandika email kwa directorate of postgraduate + college principals ili kuomba msaada but mpaka sasa ni wiki limepita sijajibiwa. Kama haitoshi nimerudia tena kuandika email to the same but hakuna msaada. Nimepiga simu, but hazipokelewi. Nimetuma email through helpdesk, but hakuna kujibiwa kabisa. Sasa nafikiria kuapply manually which is costful as it will involve travelling but no way!
NB: iyo email nadhani ulikosea, ni admission.dpgs@udsm.ac.tz (kuna nukta katikati ya admission na dpgs).

Asante mkuu kwa ushauri ikishindikana itabidi niwafuate huko huko chuoni.
 
Ww jaza tu then send hakikisha umekamilisha sehemu zote hapo ktk referee recommendation jaza hao referee tu, then submitt, ikifika ama laa ww ushamaliza.
 
Ww jaza tu then send hakikisha umekamilisha sehemu zote hapo ktk referee recommendation jaza hao referee tu, then submitt, ikifika ama laa ww ushamaliza.

Nimeshafanya hivyo ndiyo maana nikapewa serial number. Pia nilipojaza emails za referees, nikapata ujumbe unaosema referees washatumiwa emails kwa ajili ya recommendations. Referees wote watatu hawajatumiwa bado. Nimeshaona maombi ya watu wa miaka ya nyuma kukataliwa admissions kwa kukosa recommendations ya referees wawili. hilo ndilo linalonipa wasiwasi. Asante kwa ushauri wako.
 
Da nimewahi fanya applications za nje hadi raha, wanakutumia e-mails,wanakupigia simu na kukutumia barua haraka sana'
 
Ww jaza tu then send hakikisha umekamilisha sehemu zote hapo ktk referee recommendation jaza hao referee tu, then submitt, ikifika ama laa ww ushamaliza.

Asante mkuu KIBUYU,
Ila watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo ili twende mbele. Binafsi nawapongeza UDSM kwa kujaribu kwenda online kwa Postgraduate unlike other Universities/Institutes/Colleges. Ni jambo zuri kwani litawarahisishia hata wenzetu waliopo nje ya nchi kufanya application yao kwa kupunguza gharama za kupost hardcopies. Lakini pia hii inapunguza matumizi ya karatasi yasiyokuwa ya lazima hivyo indirectly kutunza mazingira.

Kwa vile ni mara yao ya kwanza, nadhani tuwapongeze na wenye ujuzi tuwasaidie wapi warekebishe ili system iwe imara badala ya kuwapondea na kuwakatisha tamaa. Hebu turudi katika msingi wa Tanzania yetu, nchi yetu, vyuo vyetu, raslimali zetu... nadhani kwa perspective hii tutatiana moyo tusonge mbele na si kurudi nyuma.

Kwangu mimi hili ni jambo jema sana na navishauri vyuo vingine viige ili tufike huko waliko nchi za wenzetu. Mwanzo huwa ni mgumu ila tusaidiane ili tupite salama.

KUDOS UDSM
 
Asante mkuu KIBUYU,
Ila watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo ili twende mbele. Binafsi nawapongeza UDSM kwa kujaribu kwenda online kwa Postgraduate unlike other Universities/Institutes/Colleges. Ni jambo zuri kwani litawarahisishia hata wenzetu waliopo nje ya nchi kufanya application yao kwa kupunguza gharama za kupost hardcopies. Lakini pia hii inapunguza matumizi ya karatasi yasiyokuwa ya lazima hivyo indirectly kutunza mazingira.

Kwa vile ni mara yao ya kwanza, nadhani tuwapongeze na wenye ujuzi tuwasaidie wapi warekebishe ili system iwe imara badala ya kuwapondea na kuwakatisha tamaa. Hebu turudi katika msingi wa Tanzania yetu, nchi yetu, vyuo vyetu, raslimali zetu... nadhani kwa perspective hii tutatiana moyo tusonge mbele na si kurudi nyuma.

Kwangu mimi hili ni jambo jema sana na navishauri vyuo vingine viige ili tufike huko waliko nchi za wenzetu. Mwanzo huwa ni mgumu ila tusaidiane ili tupite salama.

KUDOS UDSM
mkuu amna haja ya kuwapongeza wanatoa degree ya computer science kwanini hilo swala la website yao iwasumbue? vitu vingine ni ujinga na upumbavu wa watu. Nenda kwenye ofisi zao utakuta wanachat na kupiga stori
 
Bado kuna aliyeomba Duce wamempigia jana akawaambia kuwa referee hawapati email akajibiwa hatujali hilo tunajali sifa zako tu
 
Nimefanya application ya Masters UDSM online. Nimefuata taratibu zote na nimefanikiwa kutuma maombi na kupata serial number (S/N). Lakini mpaka sasa kwenye application form inaonyesha kwenye REFEREE STATUS- Recommendation not submitted. Nimejaza emails za referees kwenye application kama walivyotaka. Referees hawajatumiwa emails ili wa recommend. Lakini kwenye form wanasema REMIND/INFORM THE REFEREE. Nimejaribu kuomba msaada kupitia HELP DESK ya chuo sikujibiwa. Nimetuma emails mara mbili kwenye email ya POSTGRADUATE STUDIES (admissiondpgs@udsm.ac.tz) lakini najibiwa delivery to recipient failed permenently. Kwa kuwa S/N yangu ina 3 FIGURES, bila shaka wengi tumeomba. Nomba kujua kama kuna mwenye tatizo kama langu na nini la kufanya. Pia nilishapiga simu iliopo kwenye CONTACT YA POSTGRADUATE lakini hakuna mabadiliko kwenye form yangu.
Msaada wenu wakuu.
Angalia email yako washatoa waliochaguliwa kwa ajili ya postgraduate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom