Recent content by Ruwamangi

  1. Ruwamangi

    Jambazi Sugu "BANJOO" larudi uraiani

    Mkuu ulitisha! naamini alisoma hii thread ila kiburi. Njomalii alikuwa over confidence. Hasa dili zake za kushirikiana na polisi. Na mambo ya October 2025 ndo yalikuwa ya mwisho kwake
  2. Ruwamangi

    Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?

    Jamila anajua mwenendo wa mume wake. Banjoo au kwa jina la njomali alikuwa tishio kwa askari wadogo na baadhi ya wakubwa. Sijui ni mistake gani kubwa alifanya
  3. Ruwamangi

    Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?

    Ndo ilikuwa bar yake 2012-2016 baada ya kubadilishwa na kuwa maabara. Banjoo tatizo elimu lakini ukubwa alikuwa nao
  4. Ruwamangi

    Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?

    Bushmamy , justin Nyari alikuwepo? nilimuona Mojaa akisalimiwa kwa heshima na kila mtu kama pablo escoba mithili ya mtu mwenye empire yake
  5. Ruwamangi

    Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?

    Uncle ndio nickname yake, wanawake walikuwa wakimshobokea na ile meno macheni yake lakini ukweli banjoo maisha ya kawaida sana. Kifo chake alikuwa hana tena mtandao wa kueleweka. Mahali Mojaa yupo huyu nae yupo
  6. Ruwamangi

    Jambazi Sugu "BANJOO" larudi uraiani

    😂😂😂 wamemwita mfanyabiashara maarufu wa madini ya Tanzanite
  7. Ruwamangi

    Jambazi Sugu "BANJOO" larudi uraiani

    Yametimia leo Feb 19.2026 kutoka kwenye gari landcruiser amazon hadi mwili kukutwa porini
  8. Ruwamangi

    Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?

    Banjoo alikuwa mbabe kwa wanawake, wakila vitu vyake lazima nae awapige miti tena kwa nguvu, nilishuhudia akiteka mtoto wa kike kwa kushirikiana na wahuni wenzie na kumwiingiza kwenye gari yake aina ya R4 na kwenda kumpiga miti. Nae ametekwa hivyo hivyo kwa mazingira hatarishi
  9. Ruwamangi

    Mawakili wa JF naomba tusaidiane kuikomboa JF

    Ni kweli imekuwa shida sana. Leo tena ndio nimeingia tena baada ya kujaribu bila mafanikio, Nimeingia wakati nikitafuta habari za Banjoo wa Arusha
  10. Ruwamangi

    A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

    Mojaa nae ataingia 18 tu ni swala la muda. Ubabe wake huku akijifichia kwenye koti la vyombo vya dola utafika mwisho. Banjoo ni akili ndogo tu alikuwa ameshapoteza ushawishi na wakuu. Vijana wa Arusha najua watamlilia Banjoo. Toka nimfahamu banjoo a.k.a Mjomba sikuwahi kumuona amevaa nguo...
  11. Ruwamangi

    A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

    Mojaa na banjoo ni marafiki wakubwa sana. Njiuliza banjoo alipoteza ushawishi hapo polisi mpaka wamteke? Tarehe 29 siku ya machafuko banjoo aliacha gari yake aina ya land cruiser amazon eneo la sanawari na kukimbia baadaye askari walilivuta na kukutwa huko bunduki isiyo na usajili. Banjoo...
  12. Ruwamangi

    "Intelligence Spinning" na kilichopo chini ya uongozi 'kwa mifano!'

    sahihi, Hili la kutolewa kwenye reli kwa ujinga wowote ni ngumu sana karne hii.
  13. Ruwamangi

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Tafasiri yake hawakumpenda Nduli John Magufuli wa chato
Back
Top Bottom