Mkuu ulitisha! naamini alisoma hii thread ila kiburi. Njomalii alikuwa over confidence. Hasa dili zake za kushirikiana na polisi. Na mambo ya October 2025 ndo yalikuwa ya mwisho kwake
Jamila anajua mwenendo wa mume wake. Banjoo au kwa jina la njomali alikuwa tishio kwa askari wadogo na baadhi ya wakubwa. Sijui ni mistake gani kubwa alifanya
Uncle ndio nickname yake, wanawake walikuwa wakimshobokea na ile meno macheni yake lakini ukweli banjoo maisha ya kawaida sana. Kifo chake alikuwa hana tena mtandao wa kueleweka. Mahali Mojaa yupo huyu nae yupo
Banjoo alikuwa mbabe kwa wanawake, wakila vitu vyake lazima nae awapige miti tena kwa nguvu, nilishuhudia akiteka mtoto wa kike kwa kushirikiana na wahuni wenzie na kumwiingiza kwenye gari yake aina ya R4 na kwenda kumpiga miti. Nae ametekwa hivyo hivyo kwa mazingira hatarishi
Mojaa nae ataingia 18 tu ni swala la muda. Ubabe wake huku akijifichia kwenye koti la vyombo vya dola utafika mwisho.
Banjoo ni akili ndogo tu alikuwa ameshapoteza ushawishi na wakuu.
Vijana wa Arusha najua watamlilia Banjoo.
Toka nimfahamu banjoo a.k.a Mjomba sikuwahi kumuona amevaa nguo...
Mojaa na banjoo ni marafiki wakubwa sana. Njiuliza banjoo alipoteza ushawishi hapo polisi mpaka wamteke?
Tarehe 29 siku ya machafuko banjoo aliacha gari yake aina ya land cruiser amazon eneo la sanawari na kukimbia baadaye askari walilivuta na kukutwa huko bunduki isiyo na usajili.
Banjoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.