Ndugu yangu mzimu wa mtu ni hatari sana.
Kuna baba mmoja alimuaga mtu , huyo mzee alikuwa jambazi kulikuwa na eneo linauzwa wakati huo mwaka 2007
Lilikuwa eneo la kibiashara sasa mtu mmoja akataka kununua
Yule jambazi akiwa amepapenda eneo hilo
Alimuua kwa kumtumia vijana wakampiga risasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.