Toka nimeacha pombe nimekuwa na hatua, so pombe ilikuwa inanivurugia program zangu (kuamka mapema, kupanga ratiba za kazi za siku inayofuata) mipango kutotimia na kutumia fedha bila utaratibu(poor finacial managerment)
Kama mtu unatumia pombe nakushauri pumzika six months lazima utapata mabadiliko
Nilijitambulisha pale na huyu mwanamke alikuja kuthibitisha kwa kunipigia simu kama kweli nilienda pale. Na baadaye mwalimu alinieleza aliyomweleza kunihusu mimi so uhusianocwangu na mwalimu ukaendelea since that day
Asante. Changamoto iliyopo ni communication. Mfano mtoto ameumwa hamna taarifa kutoka kwake. Umepata taarifa kutoka sehemu nyingine umepiga umempigia simu amakujibu hamna shida then mabishano ya kipuuzi!
Wakuu salama, nimezaa na mwamnke mmoja ambaye sasa ni single mother.
Nilikuwa namhudumia lakini wakti mwingine simhudumii kulingana na ujeuri wake.
Nikitaka kumuona mtoto inakuwa ngumu, nikimwambia amlete ataki.
Sasa mtoto amefikia hatua yupo daycare amempeleka huko hakunishirikisha...
Mkuu ulitisha! naamini alisoma hii thread ila kiburi. Njomalii alikuwa over confidence. Hasa dili zake za kushirikiana na polisi. Na mambo ya October 2025 ndo yalikuwa ya mwisho kwake
Jamila anajua mwenendo wa mume wake. Banjoo au kwa jina la njomali alikuwa tishio kwa askari wadogo na baadhi ya wakubwa. Sijui ni mistake gani kubwa alifanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.