Recent content by Ruwamangi

  1. Ruwamangi

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Vijana hao hawana adabu kabisa
  2. Ruwamangi

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Naona kwenye clip anasema yeye ni MWENYEKITI WA CHAMA.[emoji1787]
  3. Ruwamangi

    Sababu ya Lady Jay Dee kuachana na mumewe

    Wewe tayari umeunganishwa nini? zinagatia dawa zako mkuu ukae kae hapo
  4. Ruwamangi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Ndugu yangu mzimu wa mtu ni hatari sana. Kuna baba mmoja alimuaga mtu , huyo mzee alikuwa jambazi kulikuwa na eneo linauzwa wakati huo mwaka 2007 Lilikuwa eneo la kibiashara sasa mtu mmoja akataka kununua Yule jambazi akiwa amepapenda eneo hilo Alimuua kwa kumtumia vijana wakampiga risasi...
  5. Ruwamangi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Hakuutangazia umma isipokuwa alidai amemalizana na waandamu kisha akasalia kanisani kujisalimisha
  6. Ruwamangi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Bashite ni vile tu hatujui siri za Mungu namna anavyotenda huenda Makonda alishasamamehewa kama ni kweli alimpiga au alishiriki kumpiga lisu ngatara
  7. Ruwamangi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Cc: Pascal Mayalla ,Mshana Jr FaizaFoxy wauone uzi huu
  8. Ruwamangi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Lengai ole Sabaya aliamua kuingia kanisani kule Arusha nakuomba msamaha wa jumla kwa wale wote aloowakosea.
  9. Ruwamangi

    Kufungua pharmacy

    Embu maliza kwanza haya mambo ya mwanamke ndo ufungue biashara. Alafu vipi umepagawa mbona thread mbilo ndani ya thread moja?
  10. Ruwamangi

    Mbowe akatae yeye kwanza kusifiwa ni Mwamba ndio atoe Ushauri kwa Rais Samia Kuwa akatae Sifa za Uwongo!

    Freeman Mbowe ni mwamba kwelibwa siasa za upinzani Tanzania...."Mwamba tuvushe [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji444]"
  11. Ruwamangi

    Una Miaka 30+ unafata nini night club?

    Mbona Ally Bananga na Albert msando ni wazee lakini hawakauki clubs z Arusha ? Human is a work
  12. Ruwamangi

    Kero na changamoto za kwenye magroup ya WhatsApp

    Kuna group tuki nalo tulianzisha kwa nia ya kusaidiana kwenye shida tuna miaka miwili tuna kiasi cha 16m tunafikiria kuanzisha kampuni au uwekezaji.
  13. Ruwamangi

    Nagombea Udiwani 2025

    Asante mkuu kwa hii mbinu mujaribu
Back
Top Bottom