Recent content by Ruvuman

  1. R

    Timu ya ushindi, kikosi kimetangazwa

    Huu ni uchochezi na uchonganishi. Tusiwachafue wazee ambao wameitumikia nchi hii. Tafadhali wanajamvi tuwajibike.
  2. R

    Kinana, Nape, January, Membe na msemo niguse ninuke

    Sifa nyingine ya uzalendo: Kuwa tayari kupigania maslahi ya nchi yako kwanza (siyo chama, maslahi binafsi, ukanda au kikundi kimoja) na ikibidi kujitoa mhanga
  3. R

    Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls

    LET US LEAVE THE BAGAMOYO PORT PROJECT ALONE. IT WILL MORTGAGE OUR ECONOMY AND OUR COUNTRY TO FOREIGN INTERESTS INDEFINITELY. IT IS NOT A LIFE OR DEATH PROJECT AND SMELLS OF GRAFT. WE SHOULD SCALE UP INVESTMENT IN TANGA PORT WHICH IS ALREADY FUNCTIONAL AND VIABLE. DEVELOP A STRATEGIC PLAN FOR...
  4. R

    Sasa naanza Kumuelewa Rais Museveni wa Uganda na nadhani na Waafrika wengine wajitahidi wamuelewe pia

    Museveni na Kagame ni wanajeshi na majenerali, wameingia madarakani kwa mtutu wa bunduki. Utawala wao ni wa kijeshijeshi. Wenyewe wanaogopa kuondoka madarakani kwa sababu hawawezi kuishi hata siku moja bila madaraka ya uraisi. Hivyo wanatafuta uraisi wa maisha. Tanzania ina mfumo wazi wa ukomo...
  5. R

    Wapi Taifa linaelekea?Huyu ni Mwanafunzi kidato cha Tatu.

    Tatizo la kwanza ni serikali, tatizo la pili ni serikali na tatizo la tatu ni serikali...... Serikali ndiyo inayowajibika kutunga sera ya elimu ambayo inaaksi mazingira na malengo yetu. Suala la lugha ya kufundishia ni miongoni mwa masuala tete ya sera yoyote ya elimu. Kiingereza hakifai kwa...
  6. R

    Kwa uzinduzi wa umeme huu Waziri Kalemani anaaibisha nchi, atumbuliwe

    Shame on you Kalemani ! Umeifedhehesha sana serikali,chama, Taifa na Watanzania kwa ujumla. Sina imani tena na wewe.
  7. R

    Dr. Mwele Malecela aula WHO

    Unadhani unampiga chura teke kumbe unamwongezea spidi na mileage ! Endelea kupambana Mwele-the sky is the limit !
  8. R

    Hapa Naona Sterling akiuawa: Mnada mpya wa Makontena 20 ya Makonda kufanyika tena kesho kutwa

    Hakuna anayepaswa kuadhibiwa. Paulo anajitahidi kufanya kazi yake, ila inawezekana hajui au haheshimu taratibu za serikali..sana sana amekaa kisiasa zaidi(hajapitia utumishi-civil service au sekta ya majeshi ?). Asingekuwa anakurupuka bila kushirikiana na wenzake mfano idara ya ustawi wa jamii...
  9. R

    DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

    Tatizo ni kwamba pamoja na umuhimu wa bidhaa zinazosemekana kuwa kwenye makontena, msaada uliombwa na mtu binafsi na ukatumwa kwake in a personal capacity. Mh P. M na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ni vitu 2 tofauti. Lazima tutofautishe kati ya official na personal transaction. Hadi leo sijaona mkono wa...
  10. R

    Serikali: Waraka ulioandikwa kwenda Kanisa la Kilutheri (KKKT) ni batili; Msajili wa vyama Wizarani asimamishwa kazi

    Baada ya kuisoma barua ya Komba niligundua kuna watu hawaitakii nchi hii mema, au wanauhujumu utawala kwa kuuongezea matatizo, badala ya kuusaidia kuongoza kwa hekima kama tunavyowaombea Makanisani kila jumapili. Mwigulu ana hekima sana na anaona mbali. Mungu ambariki kwa kutuepusha zahama!
  11. R

    Ukweli mchungu: Kama si 'support' ya wafanyabiashara wa Uganda uchumi Kagera ungekuwa taabani

    Ndiyo matunda ya jumuiya na ujirani mwema. Ila umesahau umeme -bado unatoka Uganda!
  12. R

    Kutoka NEC ya CCM: Mrithi wa Kinana ni Dr. Bashiru Ally. Apitishwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM

    Nafasi ya katibu mkuu ni ya kisiasa (political), kitaluuma, kitaalam(technical) au vipi ? Inahitaji uzoefu gani au haihitaji uzoefu katika tasnia hiyo ? Wajuzi karibuni !
  13. R

    Tanzania visiwani waomba msaada wa walimu toka Nigeria, wakati Bara kuna walimu hawana ajira

    Mkuu na mimi nawapongeza kwa kutambua ukweli na kuchukua hatua kwa maslahi ya Zanzibar. Tena nawashauri wangalie na pengo katika vyuo vikuu, watafute world class professors kujaza nafasi kama hizo. Baada ya muda unaweza kukuta Wabara wakienda visiwani kutafuta elimu bora. Hongera Mzee Shein !
  14. R

    Maaskofu wa KKKT kumwangukia Rais Magufuli

    Sponsored propaganda... Mradi mpya wa watu fulani... hakika umegharimiwa vizuri....pia umeanza kutoa ajira ..naona baadhi ya majina kawaida yenye hoja tata tayari yameanza kujitokeza .. tenda imeingia !
Back
Top Bottom