Recent content by rutasha87

  1. R

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa tafadhali tumia busara tuiondoe CCM 2015

    ccm kazi imekwisha tunasubiri october. kazi kwenu wanasiasa/wanachama/wapambe "wafa maji" bendera kufuata upepo! Naona maandamano yanaanzia jf. Kumsahau magufuli ni sawa na kusahau jina la baba yako mzazi.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa tafadhali tumia busara tuiondoe CCM 2015

    hilo jambazi lilikaa miaka 7 kabla ya kujibu tuhuma zinazomkabili. kwani dr ana muda gani toka akae kimya? labda nae aliambiwa kama humkubali EL "shut up" Hizo akili mlizoshikiwa na kina mbowe zitakaporudiswa mtakua mmefilisiwa mpaka nguo za ndani
  3. R

    JamiiForums Tanzania SASA KUMEKUCHA UKAWA IMEWIKAAA IKULUUUUUUU. unabishaaaa??????

    "ganda la muwa la jana eti chungu kaona kivuno," mtoa mada mwenyewe usoni UKAWA moyoni CCM maana umeedit wimbo wa "chama dume".
  4. R

    JamiiForums Tanzania Tafsiri yake ni kwamba CCM ndiyo yenye majembe

    madudu ya ccm hayajaanza leo WHY wahame 'few months before election? mwenye nia ya dhati na watz angehama toka kitambo
  5. R

    JamiiForums Tanzania Lowasa akubali yaishe.

    ccm hakuna ukabila that's why viongozi wakuu hawatok the same zone, unapanic nn au nawe USHAKATWA?
  6. R

    JamiiForums Tanzania CCM haijamaliza kukata, ikate na hawa

    wanaokimbilia CDM(Toka ccm) wanakimbia aibu ya KUKATWA na c kingine
  7. R

    JamiiForums Tanzania Lowasa akubali yaishe.

    si monduli tu kaskazini yote hamieni CHADEMA maana baba na wajomba zenu wote wako huko
  8. R

    JamiiForums Tanzania Dodoma kimenuka, Polisi watanda eneo la mkutano, baadhi ya wananchi wanaandamana

    waliandamana kumshawishi achukue form, sasa wanaandamana kuishinikiza kamati kumpitisha? so funny!
Back
Top Bottom