ccm kazi imekwisha tunasubiri october. kazi kwenu wanasiasa/wanachama/wapambe "wafa maji" bendera kufuata upepo! Naona maandamano yanaanzia jf. Kumsahau magufuli ni sawa na kusahau jina la baba yako mzazi.
hilo jambazi lilikaa miaka 7 kabla ya kujibu tuhuma zinazomkabili. kwani dr ana muda gani toka akae kimya? labda nae aliambiwa kama humkubali EL "shut up" Hizo akili mlizoshikiwa na kina mbowe zitakaporudiswa mtakua mmefilisiwa mpaka nguo za ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.