SASA KUMEKUCHA UKAWA IMEWIKAAA IKULUUUUUUU. unabishaaaa??????

SASA KUMEKUCHA UKAWA IMEWIKAAA IKULUUUUUUU. unabishaaaa??????

vedm

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8
Reaction score
1

hayawi hayawi sasa yamekuwa ccm walidhani masiala.
hakika siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
walimsahau mzee wa maamuzi magumu.......
 
CCM kwishney!! Safari hii tunaachana na mfumo mfu wa CCM!
 

hayawi hayawi sasa yamekuwa ccm walidhani masiala.
hakika siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
walimsahau mzee wa maamuzi magumu.......

wewe unachekesha sana,
 
CCM kwishney!! Safari hii tunaachana na mfumo mfu wa CCM!


unachekesha sana wewe mfumo upi?wakati mtu wa ccm ndo anakuja kuwaongoza nyie na chama chenu ,sijui mtapita wapi,
 

hayawi hayawi sasa yamekuwa ccm walidhani masiala.
hakika siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
walimsahau mzee wa maamuzi magumu.......

Ni mawazo ya wa fikiria chini sio juu
 
chadema mmekula matapishi yenu, cjamuona Mnyika,Tundu lisu, slaa, makene, kadi ya chama anaitoa mwenyekiti!!
 
"ganda la muwa la jana eti chungu kaona kivuno," mtoa mada mwenyewe usoni UKAWA moyoni CCM maana umeedit wimbo wa "chama dume".
 
Back
Top Bottom