Recent content by rutaratara

  1. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

    Usiwahukumu , hao waumini na Kuwaita wajinga , huenda hata na wewe ni mjinga kwa hapo unapo abudu, omba mwenyezi mungu aturehemu ,na atujalie mwanga wa roho mtakatifu , maana alisema kutakuwa na manabii wa uongo ,, like Elijah did at Mt Carmel for the false prophet.
  2. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mtaji wa Milioni 15

    Usipoteze mda kumsaidia mtu ambaye tayari anajua nn cha kufanya,watu kama hao[emoji115] piga chini
  3. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mtaji wa Milioni 15

    Wewe pm ,atakueleza ,nibiashara gani ,ifanye acha tabia za kike , uogauogatu.unaomba msaada harafu unaleta nyodo ,
  4. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuishi bila ngono au tendo la ndoa

    Rudi shule ,
  5. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Mambo gani huzingatiwa katika kugawa majimbo kanisa Katoliki?

    Peleka hilo swali kwa radio Maria au tumaini, utawakuta wataalamu watakupa majibu mazuri . Napia unachotakiwa kufanya ni kutafuta utakatifu na sio mgawanyo wa majimbo ,
  6. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Nikweli ,jamaa uwezo wake ,haupo ki great thinkers, tupe vitu sir ma great minds
  7. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    Only this can be done by great thinker, but for me small mind ,[emoji125][emoji125][emoji125]
  8. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Naomba ITV kipindi cha malumbano ya hoja mkifute

    Wafuga samaki kwa majivuno mnatisha. Ila sio mbaya maana kunamademu wa CBG hapo ,lazima nioe mmoja.
  9. rutaratara

    JamiiForums Tanzania KERO: Mke kunilazimisha kununua nyumba na sina uwezo

    Usipuuzie , hayo mawazo ni mke mwema huyo ,vipi kama angekwambia mwende mkajirushe , kwenye mahoteli ya garama , . Chamsingi hapo komaa ununue Kiwanja , uanze kujenga mdogo mdogo, na pia kumbuka wewe ni mwanaume , lazima ujenge nyumba , hata vyumba viwili. Kama hutaki kujenga acha kuzaa...
  10. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    upimaji unaendelea , unalipa 200000/ selikarini , mkifika ishirini , mnapimiwa
  11. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Kibamba kwa MANGI/ Street mdidimua.
  12. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Chamsingi ni kufanya mawasiliano ,na kuja kukiona , na kupata detail kwa majirani, karibu na plot,. Maana ni eneo ambalo limepakana na nyumba nzuri na za kisasa. 0653998683 . Napia kwa wale mnao hofia bomoabomoa , huwezi kujua chochote humu , chamsingi fika ulione eneo , lilipo...
  13. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Kibamba kwa MANGI
  14. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Ukiwa unatoka mbezi , upande wa kulia , karibu na emet secondary , shuka ruguruni , fuata barabara ya lapaz mita 500 , pia kipo kwenye proces ya kupimwa ,. Mie sijalipia upimaji ,ila ukinunua ,utalipa hapo garama za upimaji ,200,000
  15. rutaratara

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Kiwanja chenye ukubwa wa 25 kwa 25 ,kinauzwa , Kiwanja kipo kibamba . Kinaumbari Wa m500 ,kutoka morogoro load , katembea kwa miguu mpaka kilipo ni dk 20 /30. gari inafika bila shida. Umeme na maji vipo , eneo lipo tambarare ,na nilahisi kwa kujenga. bei million 6 . Unaweza kulipa kwa...
Back
Top Bottom