Naomba ITV kipindi cha malumbano ya hoja mkifute

Naomba ITV kipindi cha malumbano ya hoja mkifute

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
32,319
Reaction score
83,201
Leo nimetazama kipindi cha malumbano ya hoja ITV.

Mada ilikuwa inasema Je, haki inapatikana kwa wakati mahakamani?

Meza kuu walikuepo / Maaskari kitengo cha (Investigation) upelelezi.
Pia walikuepo mawakili wa kujitegemea/ na Msajili wa mahakama Tanzania.

Cha ajabu baada ya kulumbana kwa Fact kilichotekea kila mtu alikuwa anatetea upande wake na kusema upande wake hauna tatizo yaani kiufupi kila mtu alikuwa anatetea ugali wake na wala siyo wananchi.

Watanzania asilimia kubwa ni wasakatonge, very sad.
 
so baada ya wewe kuona matatizo hayo umeona dawa ni kufuta kipindi???wewe mwanao akionyesha udhaifu flani katika maisha yake utamuua???
 
Leo nimetazama kipindi cha malumbano ya hoja ...ITV.

Mada ilikuwa inasema Je... haki inapatikana kwa wakati mahakamani?

Meza kuu ...walikuepo / Maaskari kitengo cha (Investigation) Upelelezi.
Pia walikuepo..Mawakiri- wakujitegemea/ na Msajiri wa mahakama...Tz.

Cha Ajabu baada yakulumbana kwa Fact ...kilichotekea kila mtu alikuwa anatetea Upande wake nakusema upande wake hauna tatizo...yaani kiufupi kila mtu ....alikuwa anatetea ugari wake. na wala siyo Wananchi.

Watanzania Asilimia kubwa ni wasakatonge...very sad.
Ndio malumbano ya hoja.
 
Mkuu una moyo ITV!Mi huwa najumuika na familia yangu kuangalia mizengwe tu!
 
Leo nimetazama kipindi cha malumbano ya hoja ...ITV.

Mada ilikuwa inasema Je... haki inapatikana kwa wakati mahakamani?

Meza kuu ...walikuepo / Maaskari kitengo cha (Investigation) Upelelezi.
Pia walikuepo..Mawakiri- wakujitegemea/ na Msajiri wa mahakama...Tz.

Cha Ajabu baada yakulumbana kwa Fact ...kilichotekea kila mtu alikuwa anatetea Upande wake nakusema upande wake hauna tatizo...yaani kiufupi kila mtu ....alikuwa anatetea ugari wake. na wala siyo Wananchi.

Watanzania Asilimia kubwa ni wasakatonge...very sad.

Ugari ndio gari gani mkuu???
 
Kwanza hata kuandika hujui, kipindi hiki huwezi kukielewa, wewe kachunge tu kondoo na mbuzi ndio kazi inayokufaa hivi vipindi waachie wenye ufahamu.
 
😀😀😀jamani hizo comment mtaniua mbavu mie
 
Leo nimetazama kipindi cha malumbano ya hoja ITV.

Mada ilikuwa inasema Je, haki inapatikana kwa wakati mahakamani?

Meza kuu walikuepo / Maaskari kitengo cha (Investigation) upelelezi.
Pia walikuepo mawakili wa kujitegemea/ na Msajili wa mahakama Tanzania.

Cha ajabu baada ya kulumbana kwa Fact kilichotekea kila mtu alikuwa anatetea upande wake na kusema upande wake hauna tatizo yaani kiufupi kila mtu alikuwa anatetea ugali wake na wala siyo wananchi.

Watanzania asilimia kubwa ni wasakatonge, very sad.
Enzi za Adamu Lusekelo na Abdallah Majura kipindi kilikuwa na hoja za kusisimua hasa!.Siku hizi kipindi kimepoa sana na hakivutii kukitazama na kukisikia.
 
Back
Top Bottom