Recent content by rushanju

  1. rushanju

    Huu ndiyo uhalisia wa wakatoliki wa mchongo

    Hawa anayewalipa ni nani? Anafaidika nini? Je, wanadhalilisha dhehebu au wanadhalilisha ukristo kwa ujumla au wanajiaibisha wao?
  2. rushanju

    PostGE2025 Damas Ndumbaro: Wasanii wa Tanzania hawajavunja sheria kwa kuuza kazi zao au kushiriki katika kampeni za CCM

    Sasa subiri comment za jamii yenyewe wanayoigundisha na hapo Damas atatujua kuwa viongozi wetu wana mtazamo tofauti na jamii wanayoiongoza
  3. rushanju

    Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Huyo Bw. hasitahili kuwa hata mtendaji wa mtaa, ila kwasababu ya urafiki wake na "kifua kipana" ataendelea sana kuwepo tu hapo
  4. rushanju

    GE2025 Msigwa: Vyombo vya Habari vitoe nafasi kwa wagombea bila upendeleo

    Ukute wao wanatuona side wajinga maana "MJINGA HUMUONA MWENYE AKILI HAMNAZO"
  5. rushanju

    Nahisi wakati magufuli anakaribia kufariki alikuwa ametoa orders lakini watu flani walizizuia zisitekelezwe, ndio maana tulikuwa tunafichwa fichwa

    Huyu kakunjuka aisee. Ukweli ni kwamba wapi waislaam wanaojitambua na wanafahamu kweli. Wengine wanajua ukweli lkn hawataki kuuelezea kama huyo mwamba
  6. rushanju

    Kimara inaharibu taswira ya jiji la Dar, serikali haioni hii aibu?

    Wanaogopa kujenga kuogopa kwamba Magufuli atarudi na kuvunja nyumba zao bila malipo Kama wakati ulee
  7. rushanju

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Mara nyingi sana ukiona Uzi mreefuu basi ujue umeandikwa na mtu wa CCM.
  8. rushanju

    GE2025 Msemaji wa Polisi: Ukiziona tena gari zenye 'plate number SSH 2530' toa taarifa

    Hili suala la plate namba hapa nchimi limekuwa sugu. Hapa nimepitwa na Hammer halina plate namba kabisa juzi magari yaliyokuwa yameegeshwa Kisutu 💯 kubwa haya kuwa na namba ingawa yote yalikiwa yanaendeshwa na polis wenyewe.
  9. rushanju

    Je, unaifahamu historia ya kuanzishwa kwa vitambulisho vya taifa (NIDA)?

    Ukiongelea NIDA kila mtu anajua, unaongelea wizi wa kura
  10. rushanju

    GE2025 Polepole : Tundu Lissu anastahili kuwa nyumbani kwa mkewe na familia yake bila masharti yoyote

    Ngoja atoe hizo Siri nyie mnaomkandia najua mtakosa majibu tu. Sijaona ubaya kwa alichosema. Mtu yeyote mwenye akili anamkubali huyo jamaa. Nyie mnaotetea huwa mnakosa majibu thabiti mnaishia kutukana tu. SIKU ZOTE MPUMBAVU ANAONA MWENYE AKILI KAMA FARA
  11. rushanju

    Gari mbili zenye usajili wa kufanana

    Halafu huu Uzi utafutwa muda so mrefu. Asubuhi uliletwa na ukafutwa chap chap. Nadhani upo kwasababu wenye switch wamelala sasa hivi
  12. rushanju

    Gari mbili zenye usajili wa kufanana

    Magari ya Polis pale Kisutu Jana asilimia kubwa haya kuwa na namba kabisa. Kwasasa ukitaka usisumbuliwe na mapolisi hasa barabarani, we toa namba kabisa (ila uwe na gari lenye hadhi kdg na jipya) tutaenda kwa spidi utakayo na utosumbuliwa point yoyote. We angalia kwa sasa Kuna utitili wa magari...
Back
Top Bottom