Mi naona mashirika yetu yote yanayumbishwa makusudi ili yaonekane yanafanya vibaya ili wayabinafusishwe na kumpa Mwarabu kirahisi mifano ni mwingi tu UDART, TANESCO POSTA NA hii TTCL
Wametuona mafala tu. Wanataka waone tunavumilia upumbafu kwa kiasi gani. Mwishoni watatuganyia kitu cha ajabu. Kukata umeme mara kwa mara, tozo za hivyo nk ni mifano mingine ya kupima ukondoo wetu
Kwako wewe sishangai, hata kama angetaka waendelee kusimamia uxhaguzi bado unhekuja hapa kusifia na kuacha namba zako hapa. Itachukuwa muda kujitambua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.