Recent content by rushanju

  1. rushanju

    TTCL kufanya maboresho ya mifumo

    Mi naona mashirika yetu yote yanayumbishwa makusudi ili yaonekane yanafanya vibaya ili wayabinafusishwe na kumpa Mwarabu kirahisi mifano ni mwingi tu UDART, TANESCO POSTA NA hii TTCL
  2. rushanju

    Wanaokamata magari yanayoharibika barabarani ni kina nani?

    Wametuona mafala tu. Wanataka waone tunavumilia upumbafu kwa kiasi gani. Mwishoni watatuganyia kitu cha ajabu. Kukata umeme mara kwa mara, tozo za hivyo nk ni mifano mingine ya kupima ukondoo wetu
  3. rushanju

    Unajifunza nini ukiitizama picha hii?

    Iliitwa URAFIKI WA MASHAKA
  4. rushanju

    Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

    Kigamboni usawa wa Kimbiji kimepita hapahapa
  5. rushanju

    Dokta Greyson: Kutembea bila ya viatu (Peku) kunaongeza nguvu za kiume

    Tuambiwe udogo gani? Mfinyanzi.au mchanga. Kama siyo mfinyanzi naomba nipate taarifa ili niame nitoke Kigoma haraka
  6. rushanju

    Internet ya starlink inafanya kazi tanzania tatizo ISP Starlink ni vikwazo na sheria wala sio huduma

    Endelea kutiririka mkuu. Tunaweza kukipataje na angent atapatikanaje.
  7. rushanju

    Paul Makonda awajibu wanaosema anafanya majukumu yasiyo yake, asema fanya yako nami nafanya yangu

    Kibwagizo cha kuacha namba yako ya siku kila post yako kinaniacha hoi.. Halafu hao unaowasubiri wakupe shavu hawamo humu JF
  8. rushanju

    Kamati ya Bunge yapendekeza isiwe lazima kwa Wakurugenzi wa Halmashauri, Miji na Majiji kusimamia Uchaguzi

    Mbona unakimbilia kumsifia Mama wakati hayo yamependekezwa na kamati ya bunge. Nadhani kwasababu hiyo kamati haina uwezo wa kuteua
  9. rushanju

    Kamati ya Bunge yapendekeza isiwe lazima kwa Wakurugenzi wa Halmashauri, Miji na Majiji kusimamia Uchaguzi

    Kwako wewe sishangai, hata kama angetaka waendelee kusimamia uxhaguzi bado unhekuja hapa kusifia na kuacha namba zako hapa. Itachukuwa muda kujitambua.
  10. rushanju

    Bandari imemshinda rais akapewa mwarabu, je na umeme nao umemshinda?

    Uko sahihi kwa % kubwa sana. Wakitaka kuuza shirika huwa wanalifanyia figisu sana na baadae wanauza mazima
  11. rushanju

    Bandari imemshinda rais akapewa mwarabu, je na umeme nao umemshinda?

    Sababu waTanzania tunaweza kuambiwa lolote na kifanyiwa lolote bila ya kuhoji. Hili nalo litapita. Wabunge wote wanasubiri uteuzi hakuna wa kuhoji
  12. rushanju

    DOKEZO Gharama za kuegesha gari Hospitali ya Muhimbili ni kubwa na zinaumiza

    Na kadri siku zinavokwenda watanogewa zaidi na watapandisha zaidi maana hakuna wa kututetea kwa sasa
  13. rushanju

    Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

    Kuna dawa tayari aina mbili zimetengezwa na majaribio yanafanywa na nadhani ndani ya mwaka huu watakuwa na jawabu halisi
Back
Top Bottom