Kila sehemu ina utaratibu wake na radio Kwizera huwa wanaongea lugha tatu kiswahili Kirundi na kinyarwanda kwa sababu inasikika mpaka Rwanda na Burundi. Na kirundi na kinyarwanda kinashabihiana na kihangaza kwahiyo hakuna kisichoeleweka kwa watu wa ngara
Ngara kwa asili haina tofauti na Rwanda NA Burundi na mashariki ya Congo. Ngara kuna Clan kubwa tatu. Watutsi, wahutu na watwa. Kwahiyo unapowaona watutsi Ngara wapo kwao na kuhusu kuwepo kwa wanyarwanda Ngara na warundi sidhani km ni tatizo so long as wapo kihalali na idara ya uhamiaji ipo kwa...
Mama akasome upya sheria ya kodi TRA haichagui source ya kodi hata source iwe haramu kazi yake ni kukusanya kodi. Wapo watu wenye kazi yao ya kukamata fedha haramu na kujudge uhalali wa pesa TRA sip kazi yao hiyo
Unaongelea kupoteza helicopter je watu waliopoteza maisha yao hawana thamani? Helicopter inaweza kununuliwa mpya lakini je watu waliokufa watanunuliwa duka gani? This is very serious na hapa uchunguzi ufanyike watu wachukuliwe hatua km ilivofanyika kwa escrow
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.